Vijana kutembea nusu uchi, Wizara ipo wapi?

Vijana kutembea nusu uchi, Wizara ipo wapi?

Kwa hiyo mkuu wewe unasubiri wizara ndio ije ikutengenezee maadili?

Maadili yanaanzia nyumbani, ndipo yanaendelezwa ktk taasisi nyingine kama shule, vyombo vya habar, serekali na taasisi za dini. Suala la maadili linamhusu kila mtu.

nyie si ndo wa kwanza mnao ruhusu vidogo vyenu na na nyie mkiwemo kutoka hivyo na mnaona fahari?
 
Back
Top Bottom