Recent content by JONAS HERMAN

  1. JONAS HERMAN

    CHADEMA waibuka na style tofauti

    kwani hao waliosimama wamepakiwa kwenye malori au nao unataka kusema wanalipwa kusimama barabarani?
  2. JONAS HERMAN

    Naibu Spika: Sitamgusa Mbunge yeyote

    Hatufai na hapo ni sawa na kukiri kuwa uongozi umemshinda
  3. JONAS HERMAN

    Nimewapenda CHADEMA bure: Kila shutuma za wapinzani wanazirusha kwa wenyewe na kuwauma kwa sana

    Ila umesahau CCM na mpango wao wa elimu bora nchini na uboreshaji wa miundombinu na afya huoni nalo hilo bado 2015 ndo watatueleza ujinga wao walioufanya kwa muda wa miaka 5
  4. JONAS HERMAN

    Updates: Yanayojiri Mtwara - hali bado tete (Mei 23/24, 2013)

    HAYA YOTE NI KUTOKANA NA UDHAIFU WA KIKWETE NA SERIKALI YAKE YA CCM NA UCHU WA UNYONYAJI KATIKA NCHI HII ILI WAJITAJIRISHE WAO NA FAMILIA ZAO. NI HIVI JUZI TU HATA HATUJASAHAU YALIYOTOKEA ARUSHA KATIKA KANISA LA MT.JOSEPH LEO TENA MTWARA TUNAENDA WAPI NDUGU ZANGU? NCHI HII IMEKOSA NINI...
  5. JONAS HERMAN

    Gari ya JWTZ lapinduka na kuua askari kadhaa wakiwa njiani kuelekea Mtwara kuongeza nguvu

    tatizo CCM wanapenda kuforce mambo ona sasa hata Mwenyezi Mungu kasema hapana huoni ajali imetokea mlitaka kwenda kuuwa ndugu zetu sio eeeeee sasa imeshindikana
  6. JONAS HERMAN

    Mie na mjibu yule kaka aliesema mwanaume ukitaka uendelee oa MUZUNGU

    Lakini dada mitazamo hii inakuja kutokana na baadhi ya kina dada kufanya wapenzi wao kama bank
  7. JONAS HERMAN

    Huu Mchakato wa katiba mpya una malengo katika jamii nzima

    Katika huu mchakato wa katiba mpya kuna mambo hatuyaelewi kabisa imekuwa ni kama desturi wanakuwa kimya kwa mda flani halafu wanakuja kushtukiza jambo na kwa nilivyoona katika mchakato huu matangazo yake hayatiliwi mkazo sana kama mambo mengine na yanapelekea baadhi ya wananchi kukosa haki ya...
  8. JONAS HERMAN

    Msigwa awatetea Wamachinga kwa ukandamizaji wanaofanyiwa na Serikali

    hakika huo ndio ukweli vijana wenzetu wanateseka sana ukizingatia na hali ya uchumi inavyozidi kuwa mbaya
  9. JONAS HERMAN

    Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

    USIHOFU KAMANDA WETU MBINU ZAO ZIMEFIKA MWISHO WAMESHINDWA KUKUAMBIA MOJA KWA MOJA HUNA KESI YA KUJIBU AIBU ZAO TU HIZO BADO 2015 MOTO ULEULE:angry:
  10. JONAS HERMAN

    Ushahidi wa Lukuvi kubambikia watu kesi polisi

    uongozi tumpe sisi kutishiwa maisha tuwe sisi sasa anafanya kazi kwa ajili ya nani na kwa madhumuni gani? au hajuia anatumia kodi za watanzania kupata mshahara wake
  11. JONAS HERMAN

    Msaada - Gharama za kukodi Bull Dozer kwa Dar

    Bei kwa mwezi mmoja inaweza kuwa Tsh ngapi
Back
Top Bottom