CHADEMA waibuka na style tofauti

CHADEMA waibuka na style tofauti

Na sisi kama vijana wazalendo hatupo tayari kuona walanguzi wanaenda ikulu huku waadilifu wapo na wanadhamira ya dhati ya kuwaongoza watanzania hivyo kwa kauli ya mamlaka tunamchagua DKT JOHN MAGUFULI
 
Presha ya ukawa inapanda na kushuka baada ya siri ndani ya mtu alie karibu kueleza kuwa umoja huo ambao chadema ndyo wenye nguvu kuliko vyama vingine vinavyounda umoja kuwa wamekuwa na utaraibu mpya wa kukusanya watu ili waonekana wamejaza jambo ambalo halina ukweli ndani yake,, hyoo inatokana na umoja kuanza kuchokwa na wananchi walio wengi,,, umoja huo waenda kufa kifo cha mende
 
Kwenye mikutano na mikoa waliokuwa na wanapita wameonekana wakiwa na malori,mafuso na costa ukawa ambao haitambuliki na katiba yeyote ilee waanza lubugi,,,wasubiri kipigo october 25,2015
 
CHADEMA WAIBUKA NA STYLE TOFAUTI:

Hatimaye Chadema wameamua kuna na mbinu mpya ya kupakia mashabiki wao kwenye malori kwa ajili ya kufanikisha mafuriko ya mikutano wanayoandaa,pia waliopakizwa wamethibitisha kulipwa posho ya kuanzia 10000 na kuendelea, japo kiwango kiwango huongezeka kutokana na uelewa wa shabiki husika.

kuna njia mbali mbali za kwenda kwenye mikutano au hadhali kutegemea na umbali uliopo, aina ya usafiri ni uamuzi na uwezo wa mtu au kikundi cha watu
 
CHADEMA WAIBUKA NA STYLE TOFAUTI:

Hatimaye Chadema wameamua kuna na mbinu mpya ya kupakia mashabiki wao kwenye malori kwa ajili ya kufanikisha mafuriko ya mikutano wanayoandaa,pia waliopakizwa wamethibitisha kulipwa posho ya kuanzia 10000 na kuendelea, japo kiwango kiwango huongezeka kutokana na uelewa wa shabiki husika.

Ndo mabadiliko yenyewe hayo, tutafakari kama taifa.
 
Wanasomba watu kisha wanakwenda kuwahotubia kisha wanaita mafuriko...daah!!
 
Wanasomba watu kisha wanakwenda kuwahotubia kisha wanaita mafuriko...daah!!

unaongea usilolijua we we!
mbona hata nyinyiemu wanabeba watu kwa mafuso na matrekta kutoka wilaya nyingine?
Jana Kahama watu wamesombwa kutoka Msalala na Ushetu na vijiji vingine vya wilayani Mbogwe wakaletwa Kahama ili ionekane Magulusifuri anakubalika kumbe mafuriko ya kuchonga!
Sikusimuliwa nilikuwepo na gari tulilopanda sisi tulilamba buku 10 kila mtu na wengi tulienda kuona wasanii!
halafu Tunachagua Lowassa!
kama vp nawe #toroka uje!
 
kwani hao waliosimama wamepakiwa kwenye malori au nao unataka kusema wanalipwa kusimama barabarani?
 
Hz picha ni za ck ile lowasa anaenda kuchukua fomu NEC,,,mdanganye ambaye hakuwepo
 
Kwenye mikutano na mikoa waliokuwa na wanapita wameonekana wakiwa na malori,mafuso na costa ukawa ambao haitambuliki na katiba yeyote ilee waanza lubugi,,,wasubiri kipigo october 25,2015

Acha Uongo Na Uzushi, Watanzania Tutamchagua Lowasa
 
CHADEMA WAIBUKA NA STYLE TOFAUTI:

Hatimaye Chadema wameamua kuna na mbinu mpya ya kupakia mashabiki wao kwenye malori kwa ajili ya kufanikisha mafuriko ya mikutano wanayoandaa,pia waliopakizwa wamethibitisha kulipwa posho ya kuanzia 10000 na kuendelea, japo kiwango kiwango huongezeka kutokana na uelewa wa shabiki husika.

Mm nilshawahi kupakiwa asee
N kweli kaka
 
unaongea usilolijua we we!
mbona hata nyinyiemu wanabeba watu kwa mafuso na matrekta kutoka wilaya nyingine?
Jana Kahama watu wamesombwa kutoka Msalala na Ushetu na vijiji vingine vya wilayani Mbogwe wakaletwa Kahama ili ionekane Magulusifuri anakubalika kumbe mafuriko ya kuchonga!
Sikusimuliwa nilikuwepo na gari tulilopanda sisi tulilamba buku 10 kila mtu na wengi tulienda kuona wasanii!
halafu Tunachagua Lowassa!
kama vp nawe #toroka uje!
Mbwa!

Kwa hiyo unakubali kuwa CCM na Chadema wote wanasomba mashabiki wao na malori kwenye mikutano wao?
 
Acha upunguani, hizi picha ni za zamani na nyingine ni siku ya kuchukua form, ccm uongo unawasaidia nini?

Dada hata kama picha n za zamn
Ss tunazungumzia point ya malori
kama ya zamn hatujui
Tunachokisema hapa n malori.
Kwann mnajaza watu malori.
 
Mbwa!

Kwa hiyo unakubali kuwa CCM na Chadema wote wanasomba mashabiki wao na malori kwenye mikutano wao?

We nawe
Acha matus bhana

Matus na ukawa
n
kama
na
Lowasa na kujinyea
 
Wanasomba watu kisha wanakwenda kuwahotubia kisha wanaita mafuriko...daah!!
Wabebaji ni magamba. Ukawa huenda wenyewe na ni lazima watumie usafiri tena wa
kwao wenyewe
 
Back
Top Bottom