Kama vipo tangu asili basi kumbe ni kweli historia inavyodai kuwa Tanganyika ,unguja na pemba zilikuwa sehemu moja tangu asili,tumetenganishwa na ukoloni
Nyerere aliwatimua wote hao kutoka CCM kwa uroho wa madaraka na ubinafsi wa upemba.Sasa Hamad Rashid kakosa uongozi wa upinzani bungeni bila kutarajia na CCM wakashindwa kumsaidia dhidi ya Chadema sasa anaua chama chake.Dhambi ya ubaguzi hiyo!!
Arusha kila mtu kivyake bana,wewe unawaza kulishwa kwa ni Chadema ni CCM wanaohonga vyakula na nyama za nyumbu!!!Hapa ni haki tu hata tukila nyasi mpaka kieleweke MEEEEN!!
Acha U**nge mtu kubambikiwa kesi sio suala la msingi?Mfumuko wa bei utashuka kwa watu kutofanya kazi na kuhudhuria mahakamani kwa kesi za kipumbavu?Hate your foolishness!!
Dr Shein kwangu ni mbunge wa jimbo la Zanzibar ambaye pia ni waziri wa Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania akiiwakilsha Zanzibar(JIMBO)katiba baraza la mawaziri!!!Rais gani anaapa kama waziri popote duniani ?Tusidanganyane hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.