Recent content by Jolishi

  1. J

    Maswali ya Mwanangu kwa Mama yake yamenishtua!

    Hakuna kitu, ila age hiyo mtoto hujifunza kwa udadis na hutamuka lolote limujialo
  2. J

    Yaliyojiri Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Arusha mjini, Lema atangazwa mshindi

    kila la heri, katimizen haki yenu ya kikatiba
  3. J

    Rais mstaafu Kikwete aibukia Uingereza: Atunukiwa Heshima ya (CPTM)

    Wazungu wajanja sana, et ukuaji wa matumiz ya technologia .....
  4. J

    Kama kweli kuna aliyeiba kura ili Magufuli awe Rais, basi apewe heshima iliyotukuka

    ha ha haaaaaaa, acha wenye moyo tuendelee kuijenga nchi. maana wale weny meno waliokuwa wanaila nchi kwa sasa wanahaha
  5. J

    Agizo la Rais Magufuli: Balozi Modest Mero apokea tuzo kwa niaba ya PSPF, Geneva Uswizi

    imekaa vizur, mh bana matumiz mabovu ya pesa tujenge nchi..........
  6. J

    Baada ya Salva kuondoka Ikulu, Premi Kibanga naye afungishwa virago!

    habar yenyewe haijadhibishwa, kama inaelea vile....
  7. J

    Wachimbaji wadogo waliofukiwa Nyangalata, waokolewa wakiwa hai baada ya kukaa siku 41

    ni kwel hili limetokea na radio free wamedhibitisha kupitia kwa polis kahama
  8. J

    CCM bado hamjairudisha Kanda ya Ziwa

    cpendi ukabila, post yako inakela xana. mbona kazkazn maguful kapata kura nyingi tu, pia hata lowasa kapata kura nyingi kanda ya ziwa. ACHA KUCHOCHEA UKABILA.
  9. J

    Nyoka wa Makengeza anakuja tena!

    mungu wangu!!! watanzania tumefikia hatua ya kusifia mafisadi? kama hal ni hii, taifa hatutavuka umaskin.
  10. J

    Ushauri: UKAWA wasisimamishe mgombea wa Uspika, hawatashinda

    ukawa washirikiane na wabunge ccm kupata spila atakayekuwa mtaifa zaid kuliko mchama
  11. J

    Maandamano London: Another new episode

    dah, tusichezee aman tuliyonayo.
  12. J

    CHADEMA wawe makini: Kuna chuki binafsi, Fitna kwa mama Anatropia Segerea

    kama taarifa hiyo ni sahihi, mwanamama huyo hana hatia
Back
Top Bottom