MsamiKowalski
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 285
- 56
safi sana . nimeipenda hiyo.
wabheje sana
wabheje sana
wewe Kweli umepagawa!! Mmachame ni Mmachame huwa hamnaga shukurani na hakuna kutosheka... si mrudi kwenu kaskazini!!! Majimbo na halmashauri ziko chini ya UKIWA huku mnataka nini???/
safari hii ingekuwa maajabu ya 8 ya dunia
kabila kubwa kabisa limebarikiwa kumpata mgombea wa kabila lao halafu limkatae
eti likamchagukutoka Milama Meru au Kilimanjaro yaani ningewapuuza sana
HONGERENI WASUKUMA, WAHAYA, WAZINZA nk kwa kuwakataa Wachagga waachieni labda vibiashara lakini sio SIASA
ni uhakika Magufuli na CCM yake ni mpaka 2025, sasa hapo ndio tutaangalia km ni Mgogo au Mbena lkn Kaskazini wasubiri kauli ya Baba was Taifa na Ridhiwani hazijafutika
Kwanza niwapongeze kwa ushindi mkubwa mlioupata kanda ya ziwa japo sehemu zingine mliupora kwa walioshinda.
Ukweli ni kuwa wananchi walio wengi kanda ya ziwa bado hawana imani na CCM na wana majonzi mazito kutokana na matumaini yao kufifia.
Ushauri wangu kwa CCM ni kuwa wasipojitahidi kurudisha imani kwa wanakanda ya ziwa 2020 hali yao itakuwa mbaya sana.
Tusubiri tuone.
halafu mna matusi ya kirejareja kwa kuwaona wenzenu mazobaWe mpuuzi kweli. Mbona mnatuchukia sana kaskazini? Au ni wivu wa maendeleo? Too mainstream stupid
soma heading ni ya kipuuzi sanaNadhani ulikuwa unaandika kwa utani. Sitaki kuamini kuna watu wamejaa ukabila wa kiwango hiki kati yetu Tanzania. Na kama ndivyo, basi tuna tatizo kubwa la kujichukia wenyewe na kuendekeza ukabila, udini, rangi, umbo, na vyovyote. Hata wanyama wanatushinda, wanyama wana rangi na marakaraka kila aina lakini sijawahi kuwaona wakisema wewe wa Kaskazini, wewe kuku au mbuzi wa kusini. This is extremely too stupid if not silly. Samahani, nachukia sana ubaguzi.
[h=2]CCM bado hamjairudisha Kanda ya Ziwa[/h]
Unvyoona Wachagga sio watanzania sio?Tutafika Mnapopataka tutaanza kuitambulisha kama wachagga sio watanzania.Mimi Ni Mchagga and ma proud of it.
hata kama ni mchagga lakini jipambanue vizuriwachagga wamekushika hadi makalio kenge wewe
Hapo uko sahihi MkuuKwa hii kasi ya Magufuli naimani huko tuendako chadema watakuwa na hali ngumu sana kanda ya ziwa. Maana ata kura alizokosa ni zile za mashaka kwa chama chake ila sasa ni kama anaitakasa ccm na serikali. Ngoja tuone.
hata kama ni mchagga lakini jipambanue vizuri
kwanini mnaongoza kwa matusi
kwanini mnachafua mitandao
kwanini mnaongoza kwenye Cyber crime kina waliokamatwa juzi wanandugu wa4 wanasema Inji hii imeingia vitani na vijana wa4 wameuawa mwanza ni kina nani?
waliokamatwa na waKorea wakichakacha ni kina nani
kinachokera Siasa zimeisha na sasa ni kazi tu Rais ni Magufuli kwanini msisubiri 2025?
Member saa hizi anaingiza
CCM bado hamjairudisha Kanda ya Ziwa
kwanini asizungumzie Arusha au Meru? au CUF au CHADEMA
msiiharibu JF tuchangie mambo kiTanzania kwani hakuna mahali Magufuli kapata kura km Kanda ya Ziwa
Jitahidi kusoma post kwa makini kabla ya kutoa comment katika post yangu hakuna mahali nimeandika kabila sijui wewe umeiona wapicpendi ukabila, post yako inakela xana.
mbona kazkazn maguful kapata kura nyingi tu, pia hata lowasa kapata kura nyingi kanda ya ziwa.
ACHA KUCHOCHEA UKABILA.
safari hii ingekuwa maajabu ya 8 ya dunia
kabila kubwa kabisa limebarikiwa kumpata mgombea wa kabila lao halafu limkatae
eti likamchagukutoka Milama Meru au Kilimanjaro yaani ningewapuuza sana
HONGERENI WASUKUMA, WAHAYA, WAZINZA nk kwa kuwakataa Wachagga waachieni labda vibiashara lakini sio SIASA
ni uhakika Magufuli na CCM yake ni mpaka 2025, sasa hapo ndio tutaangalia km ni Mgogo au Mbena lkn Kaskazini wasubiri kauli ya Baba was Taifa na Ridhiwani hazijafutika
we ni binzari kweli,,,lowassa mchagasafari hii ingekuwa maajabu ya 8 ya dunia
kabila kubwa kabisa limebarikiwa kumpata mgombea wa kabila lao halafu limkatae
eti likamchagukutoka Milama Meru au Kilimanjaro yaani ningewapuuza sana
HONGERENI WASUKUMA, WAHAYA, WAZINZA nk kwa kuwakataa Wachagga waachieni labda vibiashara lakini sio SIASA
ni uhakika Magufuli na CCM yake ni mpaka 2025, sasa hapo ndio tutaangalia km ni Mgogo au Mbena lkn Kaskazini wasubiri kauli ya Baba was Taifa na Ridhiwani hazijafutika
Ndo ukweli usiofichika wachaga walijiona wao wanaweza teka nchi yoote wakasahau sensa ya mwaka 2012 ilitoa takwimu gani... ona sasa Wasukuma walivowanyoooshaaa.....hahahhaah? na CDm ya mbowe isahau kuigia ikulu
safari hii ingekuwa maajabu ya 8 ya dunia
kabila kubwa kabisa limebarikiwa kumpata mgombea wa kabila lao halafu limkatae
eti likamchagukutoka Milama Meru au Kilimanjaro yaani ningewapuuza sana
HONGERENI WASUKUMA, WAHAYA, WAZINZA nk kwa kuwakataa Wachagga waachieni labda vibiashara lakini sio SIASA
ni uhakika Magufuli na CCM yake ni mpaka 2025, sasa hapo ndio tutaangalia km ni Mgogo au Mbena lkn Kaskazini wasubiri kauli ya Baba was Taifa na Ridhiwani hazijafutika
Kwanza niwapongeze kwa ushindi mkubwa mlioupata kanda ya ziwa japo sehemu zingine mliupora kwa walioshinda.
Ukweli ni kuwa wananchi walio wengi kanda ya ziwa bado hawana imani na CCM na wana majonzi mazito kutokana na matumaini yao kufifia.
Ushauri wangu kwa CCM ni kuwa wasipojitahidi kurudisha imani kwa wanakanda ya ziwa 2020 hali yao itakuwa mbaya sana.
Tusubiri tuone.[/QUOTE
"Watanzania wanajivunia ukabila!...wanaozungumzia ukabila ni WATU MUFILISI KABISA kabisa kisiasa. Hawana kitu kichwani!" Mwl.Nyerere, mwasisi wa CCM
Mkuu umenisikitisha sana kwa hoja zako za kichovu
, wasukuma hatujawah kuwa wabaguz kias hicho!
mi msukuma tena og kutokea kijij cha kikubiji,kata ya sangu, tarafa ya mwamashimba wilayan kwimba!
npo kikazi TARAKEA ROMBO na sijawahi kukosa ushirikiano kisa me msukuma!!
wajinga wachache wny mawazo mfu kama wewe ndo mnalipasua taifa na laana hyo haitowaacha
hebu angalia unavyojichanganyamkuuu Mimi ni msukuma Og toka kijiji cha kikubiji, kata ya sangu tarafa ya mwamashimba wilayani kwimba, nafanya kazi Rombo tarakea na sijawahi nyimwa ushirikiano na jamii hii ya wachaga eti kisa Mimi msukuma, wachache wenye hoja mfu kama wewe ndio mnalipasua taifa na hyo laana haitowaacha
Kwanza niwapongeze kwa ushindi mkubwa mlioupata kanda ya ziwa japo sehemu zingine mliupora kwa walioshinda.
Ukweli ni kuwa wananchi walio wengi kanda ya ziwa bado hawana imani na CCM na wana majonzi mazito kutokana na matumaini yao kufifia.
Ushauri wangu kwa CCM ni kuwa wasipojitahidi kurudisha imani kwa wanakanda ya ziwa 2020 hali yao itakuwa mbaya sana.
Tusubiri tuone.