mi nashangaaga sana wanaowapondaga wanawake wanaotafuta wenza wao mitandaoni.sijui wameishiwa na fikra ama VP.mlitaka wakatafute wapi?hivi kwa nn MTU asiheshimiwe Uhuru wa mawazo take ili mradi hakugusi we na maisha yako?yaani utakuta mwanaume lijali kabisa,na ndevu zake,kakomalia kabisa ishu...
kuna order kila mwezi trip 2 nje kutengeneza milioni 15 kwa mtaji huo.mwenye order milioni 5,wewe milioni 5,na mm milioni 5 tugawane kila mwezi.ukiona inalipa na una 12 million cash nitafute tupige kazi.0625648094
huvi hawa manabii was kibongo,washawahi kumwombea kiwete wa kuburuza miguu kama miguu ya pweza ilivyo akasimama akatembea?
Walishawahi kumwombea atu alipooza full stroke,akiwa anajinyea na mdomo umepindia Kule,mikono imepindia huku,miguu inaenda kivyake, akasimama akatembea mzima jumla?
mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.