Recent content by jol

  1. jol

    Mume anahitajika 36+

    nitumie whatsap no yako.naweza zungumza na MTU alikuwa na shida hio
  2. jol

    Mwl mwenzangu anataka mume

    mi nashangaaga sana wanaowapondaga wanawake wanaotafuta wenza wao mitandaoni.sijui wameishiwa na fikra ama VP.mlitaka wakatafute wapi?hivi kwa nn MTU asiheshimiwe Uhuru wa mawazo take ili mradi hakugusi we na maisha yako?yaani utakuta mwanaume lijali kabisa,na ndevu zake,kakomalia kabisa ishu...
  3. jol

    Uchimbaji wa madini; Natafuta kampuni ya kuingia nayo ubia

    WhatsApp contact pls
  4. jol

    LENOVO wazindua flagship. The best smartphone in the market

    wapi napata hizi siku?duka lipo wapi?
  5. jol

    Nyumba inauzwa

    ni pm no
  6. jol

    Nyumba inauzwa

    nitumie no
  7. jol

    Biashara gani halali inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa Siku?

    kuna order kila mwezi trip 2 nje kutengeneza milioni 15 kwa mtaji huo.mwenye order milioni 5,wewe milioni 5,na mm milioni 5 tugawane kila mwezi.ukiona inalipa na una 12 million cash nitafute tupige kazi.0625648094
  8. jol

    Sikuwahi kujua kama Mwingira wa Efatha kawekeza kijiji kizima namna hii!

    huvi hawa manabii was kibongo,washawahi kumwombea kiwete wa kuburuza miguu kama miguu ya pweza ilivyo akasimama akatembea? Walishawahi kumwombea atu alipooza full stroke,akiwa anajinyea na mdomo umepindia Kule,mikono imepindia huku,miguu inaenda kivyake, akasimama akatembea mzima jumla? mbona...
  9. jol

    Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    hebu njoo pm tuzungumze
Back
Top Bottom