Mume anahitajika 36+

Hahahah, nn maana ya kulea?
tehe tehe tehe maana yake huwa inachanganya sana hasa kwa ME wengine hata watoto wao wa kuzaa wanashindwa kuwahudumua 100% sembuse ambao sio wake, as long as atawapenda na kuwakubali muishi nao pamoja hilo ni MUHIMU, kuwahudumia hapo ndio unasikilizia kwa lolote sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom