jol
Member
- Apr 10, 2017
- 31
- 10
nitumie whatsap no yako.naweza zungumza na MTU alikuwa na shida hioVP ulishapata?
nitumie whatsap no yako.naweza zungumza na MTU alikuwa na shida hioVP ulishapata?
Nitafute nipo mwanza hii hii kwani kulea kunashida? shida ni huyo mwenye watoto atakapokuwa anasumbuasumbuaMiaka mi3,,
tehe tehe teheHehehehehe hapo kwny malezi ndio ugumu unapoanza.
Mtu hana hata mtt anaoa tu tayari anakuwa nao wawili wakubwa
labda awe tayari kuwapenda ila kuwalea mmhawe tayari kulea watoto wangu.
Oknitumie whatsap no yako.naweza zungumza na MTU alikuwa na shida hio
Asante dearKila la heri
Hahahah, nn maana ya kulea?labda awe tayari kuwapenda ila kuwalea mmh
Ntakutafuta usijaliNitafute nipo mwanza hii hii kwani kulea kunashida? shida ni huyo mwenye watoto atakapokuwa anasumbuasumbua
sawa karibuNtakutafuta usijali
tehe tehe tehe maana yake huwa inachanganya sana hasa kwa ME wengine hata watoto wao wa kuzaa wanashindwa kuwahudumua 100% sembuse ambao sio wake, as long as atawapenda na kuwakubali muishi nao pamoja hilo ni MUHIMU, kuwahudumia hapo ndio unasikilizia kwa lolote sasaHahahah, nn maana ya kulea?
Ushapigwa mbili bila 2-0 mpira haujaanzaHehehehehe hapo kwny malezi ndio ugumu unapoanza.
Mtu hana hata mtt anaoa tu tayari anakuwa nao wawili wakubwa
Haahahaahahaaa!Buy one get two free!
Ntakuua ujuekuna nafasi kweli? Nahisi kumejaa mpaka wengine wanamwagika.
Nyuma vimekazaNi maisha magum au nini jamani mwanaume ndyo kichwa cha famili