Recent content by joka kuu

  1. J

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Mkuu naomba nami uniunganishe 0767555564
  2. J

    Tabia 10 zinazokufanya uonekane si Msomi au mtu aliyeelimika

    Ni kweli kiongozi hizo ni baadhi ya sifa za wasomi ila kwa msomi wa kitanzania ni kinyume chake.
  3. J

    Lowassa kutangaza rasmi msimamo wake Julai 13, 2015, ACT wajiandaa, CCM kupasuka

    Mwambie edo ajaribu kuhama kama hajamkuta ya mramba.
  4. J

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    jamani napenda kujua kuhusu suzuki jimmy wide juu ya upatikanaji wa spare, utumiaji wa mafuta pamoja na durability yake.
  5. J

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Kingunge anaongea chanel ten kwa shida sana, hana raha kabisa kwani kipenzi chake kimekatwa
  6. J

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Walizoea kuishi kwa hila na uzandiki, haya yanayotokea sio mageni kwani yalianza toka mwaka 1995 na yakajirudia mwaka 2005 na pia wakati wa kumtema uspika mzee sita. Mwambieni mzee wa safari ya matumaini awe mvumilivu kwani mbona wamekatwa wengi tu maarufu na pia yeye ni muasisi wa fitina hizo...
  7. J

    JF members wa Dar pita hapa tutambuane

    mkuu ukonga mombasa.
  8. J

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    mtu kashaumia huku.
  9. J

    Sabodo na ahadi ya kuchimba visima vya maji

    siasa ni ahadi na ahadi ni siasa bila utekelezaji.
  10. J

    Mecca yaumbuka: Siri kubwa yafichuliwa!

    sijui mtoa mada aliwaza nini?
  11. J

    Hongera sana Mwigulu na Bulaya kwa kuzungumza ukweli juu ya kupigwa kwa Lipumba

    hivi hawa polisi wetu hawataki kujifunza kutoka kwenye matukio mengi ya siku za nyuma, au ni ujinga wao wa kukosa weledi au ni maelekezo ya mabosi wao???? inashangaza.
  12. J

    Nachochea: Mwaka wa Uchaguzi Mkuu na Maneno ya Mrisho Mpoto

    hiyo nyimbo ya mpya ya ifuate uichokue nimeisikia jana redio ina ujumbe mkubwa sana kwa watawala wetu. bahati mbaya zaidi watawala zetu huwa si wasikilizaji wa nyimbo zake&
  13. J

    Polisi wa pikipiki waporwa bunduki 2 kwa kushikiwa kisu

    ni kweli jeshi la polisi linatakiwa kuandaa mtaala mpya wa mafunzo, kwa haingii akili smg mbili kuporwa na visu.
  14. J

    Msaada: Intern ya udaktari

    tatizo hujaeleza sababu za kushindwa kuanza internship mapema; sio rahisi kupata kazi ya udaktari bila kupita internship kwani kwenye internship ndiko daktari anakopikwa; mwambie anze mapema kwani huko wanalipwa mashahara wa 80% wa daktari.
Back
Top Bottom