Ticha kajichanganya!! Kazama mazima kwenye mfumo!!
😁😁😁
Alikuwa over ambitious wakati anaanza na hakutaka ushauri!! Sasa project imemkabia juu anarudi JF kuomba aokolewe kwenye mzamo!!
😂😂😂
Cha msingi aangalie kipi kinauzika sasa hivi ili hiyo hela aitumie kujikwamua!!
Dah Ticha aisee!!!
😂😂😂
Kwa hii thread yako una kili udhaifu wako na kumwachia kazi nzito Mwenyezi Mungu wakati yeye alishamaliza kazi yake kwa kukupa akili na nguvu ila hujui jinsi ya kuzitumia. Kwa hili Mwenyezi Mungu anapewa lawama bure.
Huwezi exaggerate kwa mtiririko huo!! Mdau aliyeleta huu uzi 2012 inaonekana alikuwa na mkono kwenye habari nyeti (mtiririko wa thread hauna shaka hata kidogo). Kama yupo hai atupe mwendelezo. Maana ni kitambo!!
Members kama akina Saint Ivuga simuoni tena, sawa na akina Lizaboni. Watu...
Tujitahidi kuheshimu taaluma za watu. Hao waliodhibitiwa na Ithbati wakasome, vyuo vipo then warudi kazini. Uandishi wa habari ulivamiwa na kila mtu. Sasa uheshimike.
I’m
Bro hayo ni makafara! Kwani mtu mwenyewe si unamuona tu jinsi alivyo!! Halafu haya maisha yetu wanadamu ni mafupi sana kwanini ujiingize kwenye makafara na kupoteza roho za wenzio wakati wewe hata kufikisha 70 ni majaliwa!! . Ni shida aisee!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.