Recent content by Johntest

  1. Johntest

    Benki gani nzuri kufanyia biashara mtandaoni?

    Achana na bank za ajabu. Nilitumia CRDB nikajuta sitorudia tena. Now naenjoy sana kutumia Bank ABC.
  2. Johntest

    Ninaweza kufanya biashara gani Kampala?

    Issue ni soko kaka. Lipo?
  3. Johntest

    Ninaweza kufanya biashara gani Kampala?

    Seriously kaka? Hyo business inalipa kule mkuu?
  4. Johntest

    Ninaweza kufanya biashara gani Kampala?

    Ninapapenda sana Kampala. Nataman kujua watu wa pale wanahitaji nini kutoka Tanzania ili niifanye biashara hyo. Msaada please!!
  5. Johntest

    Ninatoa Icloud kwenye simu za Iphone

    Hahaaa Lost mode hugusi mkuu,,blacklisted husogezi ni balaa hapo
  6. Johntest

    Ninatoa Icloud kwenye simu za Iphone

    Usiibiwe ndugu. mi ni mtundu sana kwenye simu ila icloud haitoki kirahisi na kama ukiweza kuendana na vigezo vya kuitoa bei yake ni ghali sana na inafanywa na wafanyakazi wa apple wenye maduka yao binafsi ya simu na ufundi. Ukilinganisha gharama ya kutoa icloud, ni bora ununue simu mpya coz bei...
  7. Johntest

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Mkuu nauliza ile jela. Kuku wanakaa siku mbili mfululizo bila kula wala kunywa chochote?
  8. Johntest

    Ninatoa Icloud kwenye simu za Iphone

    Nahisi huyu jamaa hajui anachozungumzia. Icloud is network based na lazima uwe na access kwenye server za apple. Kama una mtu apple, sawa nakubali ila kama sivyo, TO HELL!!! Nina Iphone nimeletewa hapa kama 8 naziuza spare tu,,,
  9. Johntest

    Nahitaji kiwanja majani mapana Tanga

    Naona hapa hatuelewani. Nataka kujua hyo 9M ni kiwanja cha ukubwa gani mkuu. Mita,feet,hatua,fimbo ngapi kwa ngapi?
  10. Johntest

    Nahitaji kiwanja majani mapana Tanga

    Hujajibu swali mkuu. Kiwanja kina ukubwa gani?
  11. Johntest

    Nahitaji kiwanja majani mapana Tanga

    Sema ukubwa wa kiwanja na bei yake mkuu
  12. Johntest

    Nahitaji kiwanja Majani Mapana Tanga

    Vina ukubwa gan mkuu?
  13. Johntest

    Nahitaji kiwanja Majani Mapana Tanga

    Hapo vinaendaje mkuu?
  14. Johntest

    Nahitaji kiwanja Majani Mapana Tanga

    Salama wakuu. Naomba msaada kwa aliyepo Tanga. Natafuta kiwanja cha bei poa naeneo ya Majani Mapana. Ni eneo la kujenga nyumba ya kuishi. Msaada plz.
Back
Top Bottom