Ninatoa Icloud kwenye simu za Iphone

Ninatoa Icloud kwenye simu za Iphone

Kwa iPhone kutoa iCloud inawezekana,
Ila inatumia Muda kidogo ku-jail break process zake!!!....Ndo maana kila baada ya Muda Huwa wanatoa updates kwa ajili ya kudhibiti access.
Kwa hapa town nawafamu vijana 2 wanakufanyia iyo kazi .Ila ghalama zake sio hizo twenty,ni km 120 mpk 200.pia inategemea km ilikuwa imeripotiwa lost au hapana!!,km lost status encryption inakuwa ngumu na ghalama zinaongezeka.
Inawekana ku bypass iCloud.
Ikiwezekana maana yake na system ya icloud imekufa! Any jailbroken apple devices hazilindwi na apple tena! Kwa maana nyingine kama goal yako ni usalama basi simu yako si salama tena.
 
Ikiwezekana maana yake na system ya icloud imekufa! Any jailbroken apple devices hazilindwi na apple tena! Kwa maana nyingine kama goal yako ni usalama basi simu yako si salama tena.

Wanao waza kuwa icloud inawezekana kutolewa kirahisi wengi wao sio watumiaji wa apple device na kama anatumia bas kuanzia iphone 4 kushuka chini na alinunua ya wizi
Lakini kwa watumiaji wa iphone na wanao zijua iphone lazima akuambie ni ngumu kutoa.
Kwa uwakika zaid angalia wote walio changia kuwa inawezekana kutoa icloud na angalia wamechangia nin juu ya mada TECNO NI SIMU BORA utaona wanavyo zisifia
Wanajua ubora wa tecno na sio iphone
 
Kumbe hata maana ya icloud huijui mkuu.
hivi unajua kwenye icloud unaweza tumia email yoyote mfano mimi natumia email yangu ya gmail kwenye iphone kote kushusha apps as apple id na kama username ya icloud account?
umeona ehee sasa maana ya icloud ajui anasema n email
 
Mnadanganyana tuu, iCloud ni moja ya sifa ya apple ktk kuuza bidhaa zao
Mafundi wengi bongo wanatafuta shule ya jinsi ya kutoa icloud youtube na wengine wanabaitisha tuu
Apple wamefanya tena security update hata mwezi ujaisha na sasa ni IOS 10.2.1
Wewe unae jifanya unatoa hata nikupe simu yangu ukaenayo mika 7 utaishia kuichuna rangi tuu
Nakushauri toa icloud za tecno tuu
poooovu
 
OFFER....OFFER...
nahitaji mwenye Iphone ina icloud namutolea kwa bei ya 20000 tu nikiwa katika majaribio baada ya kuhitimu mafunzo ya IT
73546960bfe73f8c7d6316cc95707a39.jpg
VIPI KUHUSU IPAD?
 
sema kutoka zinatoka ila jpm akigundua dili langu hili segerea itaniita
 
Kwa simu zipi? Version gani ya iOS? Wengi wanachanganya "Bypass" iCloud activation na "Remove" iCloud account!
Kuing'oa iCloud account kwenye simu ya mtu ambaye ameiset ON siyo jambo rahisi kwa sababu hizo details ziko stored kwenye server za apple, ili uitoe au uifungue icloud account lazima uidanganye server ya Appe, siyo jambo dogo!
Unaposema sio jambo dogo utaendelea kumpa moyo wa kupambana, mwambie tu kuwa kwa yeye HATOWEZA.
 
Usiibiwe ndugu. mi ni mtundu sana kwenye simu ila icloud haitoki kirahisi na kama ukiweza kuendana na vigezo vya kuitoa bei yake ni ghali sana na inafanywa na wafanyakazi wa apple wenye maduka yao binafsi ya simu na ufundi. Ukilinganisha gharama ya kutoa icloud, ni bora ununue simu mpya coz bei inaweza kuwa sawa na simu mpya or hata zaidi ya bei ya simu yenyewe. Ninauza spea za iphone kibao nilikua nazo hapa zilizofungwa na icloud. Kama unahitaji spea nicheck. Sasa nina iphone 5s,5c na 6plus.
81fab191353b18dc91d615fad3d0a6ee.jpg
ec90ef4ea10206c68ab62122b7c61348.jpg
6c8e7d310fdd8a50915b519924814352.jpg
 
Back
Top Bottom