moja iphone 4
Hayo majaribio yanaisha lin?OFFER....OFFER...
nahitaji mwenye Iphone ina icloud namutolea kwa bei ya 20000 tu nikiwa katika majaribio baada ya kuhitimu mafunzo ya IT![]()
unaionaje ipo vizuri au bora androsMm naitumia hapa.
Nadhani unamaanisha Androidunaionaje ipo vizuri au bora andros
Naomba mawasiliano yake mzeeKuna jamaa anaitwa Arthur ni IT wa coca cola anatoa Icloud vizuri sana, na amewahi toa mbele yangu pale mwanza
Na mimi naahidi kuacha kutumia iphone rasmi.Ukiweza nitaaacha kutumia iphone rasmi
kwaiyo munabisha kuwa Iphone haitolewi icloudAmesema 20000 me nadhani aweke namba ya simu atafutwe.. Huu sio utapeli Kwa sababu huwez kumtumia hela na simu hajaiona.. Tuache uwoga na kurudishana nyuma.. Jamaa anaweza kuvunja record akafahamika
kwaiyo munabisha kuwa Iphone haitolewi icloud![]()
Mnadanganyana tuu, iCloud ni moja ya sifa ya apple ktk kuuza bidhaa zao
Mafundi wengi bongo wanatafuta shule ya jinsi ya kutoa icloud youtube na wengine wanabaitisha tuu
Apple wamefanya tena security update hata mwezi ujaisha na sasa ni IOS 10.2.1
Wewe unae jifanya unatoa hata nikupe simu yangu ukaenayo mika 7 utaishia kuichuna rangi tuu
Nakushauri toa icloud za tecno tuu
nijibu I cloud ni niniOFFER....OFFER...
nahitaji mwenye Iphone ina icloud namutolea kwa bei ya 20000 tu nikiwa katika majaribio baada ya kuhitimu mafunzo ya IT![]()
Hahaha 20,000 blaza.OFFER....OFFER...
nahitaji mwenye Iphone ina icloud namutolea kwa bei ya 20000 tu nikiwa katika majaribio baada ya kuhitimu mafunzo ya IT![]()