Benki gani nzuri kufanyia biashara mtandaoni?

msocial

Member
Dec 16, 2016
78
42
Nisaidieni wakuu nataka nijue hapo... Mfano kuunganisha pay pal account, kulipia amazon, Alibaba etc ni bank gani nzuri naweza kutumia kufanya haya mambo
 
  • Thanks
Reactions: MC7
jaman vp kuhusu bank ya equity? gharama za kuruhusu online transaction km paypal wanakata sh ngap?
 
vp akaunt ya elimika ya mwanafunzi ya equity naruhusiwa kufanya online transaction?
 
vp akaunt ya elimika ya mwanafunzi ya equity naruhusiwa kufanya online transaction?
- Zingatia malengo ya elimika Account - Kutunza akiba, Na unaruhusiwa kutoa mara 4 kwa mwaka.

- Je kwa nini usichukue kadi maalumu kwa ajiri ya manunuzi mtandaoni tu? hapo hapo equity.

- Ili iasi kidogo utakachotoa kwenye elimika account ndio ukiweke kweny kadi yako na kufanyia manunuzi mtandaoni
 
jaman vp kuhusu bank ya equity? gharama za kuruhusu online transaction km paypal wanakata sh ngap?
Kwa kila muamala unayofanya kupitia Paypal, bank wanakata tsh 300/- tu kama charges yao.
upload_2017-2-14_6-4-23.png

Samba na hilo kila ukiigia kwenye account yako kupitia app yao pia wanakata tsh 300/- tu
 
Barclays. i have used for more than two years now.
-to receive payments online=payoneer..
bank za Tanzania are banned to receive online money due tolau dry issues.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kwa kila muamala unayofanya kupitia Paypal, bank wanakata tsh 300/- tu kama charges yao.
View attachment 470308
Samba na hilo kila ukiigia kwenye account yako kupitia app yao pia wanakata tsh 300/- tu
kumbe wapo vizur eeeh vp kuhusu mm nina a/c. equity ya mwanafunzi inayoitwa elimika nilifungua kwa sh 5000 tu jee hii inaweza kuruhusu online transaction
 
- Zingatia malengo ya elimika Account - Kutunza akiba, Na unaruhusiwa kutoa mara 4 kwa mwaka.

- Je kwa nini usichukue kadi maalumu kwa ajiri ya manunuzi mtandaoni tu? hapo hapo equity.

- Ili iasi kidogo utakachotoa kwenye elimika account ndio ukiweke kweny kadi yako na kufanyia manunuzi mtandaoni
oooh asante sana mwlm ubarikiwe bas ngoja nikafungue ile a/c ya kawaida ya sh 10000
 
Achana na bank za ajabu. Nilitumia CRDB nikajuta sitorudia tena. Now naenjoy sana kutumia Bank ABC.
 
UBA bank ndio United Bank For Africa.
Wana prepaid card au jina jingine credit card. Hii hauhitaji kua na account. Na unaweza iwekea pesa kutokea kwenye mpesa na nyinginezo.
Na unaweza fanya online transaction zote. Na kila transaction unayoifanya utapata sms alert na ina online banking ambayo unaweza kuiconect na acc yako ya bank pia.
Paypal inafanya kazi pia
Card ni only elfu 11
Na ipo active nchi zote duniani kwenye ATM za Visa or master card POS na nyinginezo unazoweza fanya online payment
Haisumbui kabisa.
 
Back
Top Bottom