Msome vizuri mwenzio ndo utaelewa naona kichwa chako kigumu! Mwenzio amesema ni first time rick ross kuja EA sasa nasisi 2memuambia kuwa alikuja tz tena akiwa bado ana hit, mwalimu alipata kazi sana kukufundisha ase
Huu ni mzigo kwa kweli kwa walipa kodi, Kama Huyo wa TISS hata hapewi Airtime ila still alipo mkuu naye yupo sijui kwanini asee, Pia CDF anamfata sana JPM
Kiukweli BAVICHA hamueleweki mnataka nini, mmemtukana sana mzee wa wetu wa msoga ooh mara mpole mara hawezi kuchukua maamuzi magumu, sasa ameingia Mr Hapa kazi tu bado mnakuja kulia lia anfanya maamuzi magumu enyi vinyonga mtaacha lini undumila kuwili wenu?
Diamond nae ana moyo shonza ametaka Attention kupitia Simba sasa kilichomkuta next time ajifunze, Diamond ana nguvu nyuma anayoitegemea wamuulize Yule mfia chama Nape kilichomkuta
Mpaka sasa ni kama Maraisi watatu tu ndio wamempongeza ila issue ya poison naona UK kalenga pazuri kusorotesha diplomacy ya Urusi na mataifa mengine kumbuka trump anamuunga Uk mkono wazi wazi juu ya katazo la matumizi ya izo poison weapons
Jeuri yote hii Kwa vile tu makonda yuko behind na Team ya WCB kama guardian wao, Sasa Shozi hawezi kupambana na DSM RC makonda himself japo kicheo NW yupo juu ila makonda ni top zaidi behind the scenes, Mondi asingekuwa na jeuri ya kuongea ivo ile hali soon atahitaji vibali kwa Ajili ya kulaunch...
Wabongo hatueleweki tunataka nini kwa kweli Rais Akisema amuamshie Dude uyo Mo Dewji ili mpate mishahara minono then mo Aka react na kufunga biashara mtakuja kupiga kelele apa kuwa anafukuza investors wanaotoa ajira, Akisema aache ili muendelee kulipwa hio hio bado mnaona mnaumizwa je mnataka...
Uko sahihi mkuu ila kwa njia moja ama nyingine jamaa yuko sahihi, Kwa maana angekuwa na strong earth hio Leakage kati ya earth na live basi Asingepigwa short mana umeme ungeenda ardhini badala ya kumpiga short kumbuka ground iko at 0 potential, Solution ni ELCB yani Earth leakage circuit breaker...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.