John Powese
Member
- Mar 8, 2018
- 28
- 38
Watanzania sisi sio wadini.
Hivi Abdala Mwaipaya, Farhia Medley, na Hemed Kivuyo, wote Hawa Waislamu? Hao Ni kwa uchache tu!Najua wengi mnafahamu hizi kampuni zinazosimamiwa na Mwenyekiti wake ambaye ni Dr. Mengi, hii kampuni kwa waislam na wasabato kupata kazi ni vigumu sana iwe hata kazi ndogo ndogo. Imefikia hatua hata ukipata kwa bahati mbaya kama ni binti wa kiislam haurusiwi kuvaa ushungi.
Kumbukeni vituo na magezeti yenu wateja wake ni wa dini zote
Kwa bakresa mpaka watu wanabadili majina wanajiita Asha Abdala mansoor ndio unapata kazi huku mkuu hujapafanyia utafiti? au ulikua unauzunguka mbuyu?Najua wengi mnafahamu hizi kampuni zinazosimamiwa na Mwenyekiti wake ambaye ni Dr. Mengi, hii kampuni kwa waislam na wasabato kupata kazi ni vigumu sana iwe hata kazi ndogo ndogo. Imefikia hatua hata ukipata kwa bahati mbaya kama ni binti wa kiislam haurusiwi kuvaa ushungi.
Kumbukeni vituo na magezeti yenu wateja wake ni wa dini zote
Kama hawajasomea umeme tuchukue mwalimu wa shule ya madrasa apewe umeneja.LHRC nasikia hakuna muislam hata mmoja tanesco pia hakuna meneja hata wa kanda tuu muislamu hata mmoja
Nikikutajia Waislamu Wawili utafanyaje? Hao wapo LHRC!LHRC nasikia hakuna muislam hata mmoja tanesco pia hakuna meneja hata wa kanda tuu muislamu hata mmoja
Huyu alieandika bandiko la "IPP ACHENI UDINI" katumwa na AZAM kupoteza maboyaJana ilikuwa Azam wapunguze udini... Leo IPP kesho itakuwa METL nadhan
Hao ni ukabila na ukanda sio udiniJana ilikuwa Azam wapunguze udini... Leo IPP kesho itakuwa METL nadhan
Kiukweli Ipp Waislam Ni wengi sanaWE JAMAA MUONGO WEWE MIMI NILIFIKIRI UNASEMA IPP IMEWAPENDELEA WAISLAMU KUMBE UNASEMA KINYUME CHAKE? EMBU FUATILIA VIZURI ACHA LAWAMA ZA KIJINGA LABDA UNAONGELEA AZAM AMBAKO NDIO KUNA HIYO KITU
Kweli kabisa mkuuKwa bakresa mpaka watu wanabadili majina wanajiita Asha Abdala mansoor ndio unapata kazi huku mkuu hujapafanyia utafiti? au ulikua unauzunguka mbuyu?
Hawa watu wanaroho za chuki sana dhidi ya makafiriHuyu alieandika bandiko la "IPP ACHENI UDINI" katumwa na AZAM kupoteza maboya
Ameslimu lini?Yule Ni mwislam mkuu usihadaike na Jina ahahah
Duuu inakisikitisha kubaguliwa kwa misingi ya dinikuna kiwanda cha magodoro dodoma yan wameajiri islamic tupu,
Udini upo kila sehemu na inapendeza zaidiIpp hakunaga udini kule sifa zako zinakupa kazi
Sikiliza redio au angalia Tv kama huwezi Jina la juma
Na pia mwambie mengi hata waislam wanatumia media zakeNaona una jaribu kumsaidia mzee bakresa baada ya watu kulalamika kuwa kaajiri Waislam 99%kwenye kampun yake
Mwambieni tu bakresa hata makafiri Ni wateja wake
mkuu huo ndo ukweliMimi sishangai kuona udini huku na ukabila kule hasa kwenye private sector,yan watu binafsi ni wadini sana ,
Kuna kampuni moja nlisha wah kufanya kazi nilikuta waislam tupu, nikauliza VP hapa kumbe mwenye kampuni ni muislam tena alhaj,
Miaka kadhaa baadae nikapata kazi kampuni nyingine kule nikakutana na wa kristo full mkoba plus ukabila(majina ya mwa.yale?).Nikajaribu kupeleleza nikajua kumbe mmliki ni mkristo tena msimamo mkali,
Sasa kutokana nahayo nimegundua makampuni au maofisi binafsi udini na ukabila ni vitu vya kawaida,tusikae tunalalamika hovyo tafuteni fursa mpambane na maisha