Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Hawa vijana wa Lumumba wamefukua bandiko hili kama kujifariji.
Bandiko na hili:
Siku ambayo Kikwete anaondoka madarakani nitaiadhimisha kila mwaka
Ukisoma hilo bandiko linahusu hali ivivyokuwa si nzuri wakati wa JK mpaka nikatamani muda wake uishe aondoke madarakani.
Cha ajabu na cha kushangaza vijana hawa wanaotetea huu utawala na kusema hata wakati wa JK mambo haya yalikuwepo leo hii wanatumia uzi ule uke wa malalamiko yangu kudhibitisha kuwa leo hii hali imekuwa mbaya zaidi maana hatujapumua.
Sasa niwaulize mnapinga nini na kusimamia nini?
Je,huku si kukiri kweli kuna udiketa unaolalamikiwa ambao enzi za Jk hatukuwahu kuusikia ukitajwa?
Je,huku si kukiri matukio kama yale ya kina Ulimboka kutekwa sasa ndio yamekithiri?
Kwanini tusiamini mmekiri uovu sasa umeongezeka kuliko enzi za Jk?
Kama mnakiri hatujapumua baada ya JK kuondoka kama nilivyotarajia, sasa hawa maaskofu na mapadri wanaotoa waraka kupinga haya yanayoendelea mnawapinga kwa lipi?
Tuambieni sasa uzalendo wa huyu bwana mnaoutetea ni upi kama mnakiri enzi ya JK hali ilikuwa ni nafuu?
Hamjitambui nyinyi watu na huu ni ushahidi kuwa nyinyi ni makuhadi na waetezi wa ouvu.
Hata nyumbu wana nafuu!
Bandiko na hili:
Siku ambayo Kikwete anaondoka madarakani nitaiadhimisha kila mwaka
Ukisoma hilo bandiko linahusu hali ivivyokuwa si nzuri wakati wa JK mpaka nikatamani muda wake uishe aondoke madarakani.
Cha ajabu na cha kushangaza vijana hawa wanaotetea huu utawala na kusema hata wakati wa JK mambo haya yalikuwepo leo hii wanatumia uzi ule uke wa malalamiko yangu kudhibitisha kuwa leo hii hali imekuwa mbaya zaidi maana hatujapumua.
Sasa niwaulize mnapinga nini na kusimamia nini?
Je,huku si kukiri kweli kuna udiketa unaolalamikiwa ambao enzi za Jk hatukuwahu kuusikia ukitajwa?
Je,huku si kukiri matukio kama yale ya kina Ulimboka kutekwa sasa ndio yamekithiri?
Kwanini tusiamini mmekiri uovu sasa umeongezeka kuliko enzi za Jk?
Kama mnakiri hatujapumua baada ya JK kuondoka kama nilivyotarajia, sasa hawa maaskofu na mapadri wanaotoa waraka kupinga haya yanayoendelea mnawapinga kwa lipi?
Tuambieni sasa uzalendo wa huyu bwana mnaoutetea ni upi kama mnakiri enzi ya JK hali ilikuwa ni nafuu?
Hamjitambui nyinyi watu na huu ni ushahidi kuwa nyinyi ni makuhadi na waetezi wa ouvu.
Hata nyumbu wana nafuu!