Mkuu jipe moyo haya yote ni mapito,muombe sana mungu atakuondolea hii hali inayokukabili kwa maana kwake hakuna linaloshondikana.Jipe mda hta mwezi mmoja kabla hujafanya hayo maamuzi magumu mkuu tafadhali sanaaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asa kwani shida ipo wapi,hajabakwa mtu bali wameridhiana na isitoshe wote ni watu wazima hakuna under 18 sion shida hapo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mkemia c ndo yule aliwahi kuvunja dirisha la shule ya seminari na hatimae kufukuzwa shule kwa utovu wa nidhamu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu...kubeti inategemeana una beti kistarehe au kwa ajili ya kutafta pesa? Punguza kiwango cha kubeti lipia mkeka kwa waleti ambapo kuanzia jero una beti means ukiwa na buku mbili siku nne zote kwa buku mbili hii n kwa starehe zaidi sio kutafta pesa!!! Na Kama una beti kwa lengo la kutafta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.