Kuna vyeo vya kikatiba na visivyo vya kikatibam vyeo vya Kikatiba kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya 1977 ni kama Urais wa JMT, Makamu wa Rais, PM, Mawaziri, AG, DAG,DPP, CAG, Makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu etc. Vyeo visivyo vya kikatiba mojawapo ni kama uIGP, uCDF etc. Vyeo hivi visivyo vya...