Recent content by joharry

  1. J

    Escrow Kimenuka: Uongo wa Taarifa ya Kamati ya PAC kuhusu sakata la ESCROW

    kwanini hawakulazimisha au kupendekeza serikali itoe orodha ya stanbic???naamin kabisa bila shaka kuwa kuna uwezekano wa asilimia 90% kuwa zitto alikula mgao make kuna tetesi kuwa lukuvi yeye alipata 2billion na ikumbukwel kuwa huyu lukuvi nae alikuwepo kwenye kamati ya maridhiano. Sasa kama...
  2. J

    Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

    Lowasa ndie tunae mtaka hatutaki malaika sisi,tunataka mchapa kazi anae weza kufanya maamuzi mazito na magumu sana kwa taifa hili
  3. J

    Chenge na Tibaijuka wataigharimu CCM

    Msikubali,wamezidi kunyanyasa watu na kutoa makafara kwa uonevu wakati wao ndio wezi wakubwa,msikubali waburuzeni wasiwanyanyase na this time wakiwauwa tutajua tu na sisi na wao. Wamesha zoea kuua watu na kutoa makafara wakakti wao ndio wacheza dili wakubwa na wanajificha nyuma yenu...
  4. J

    Membe acha kupotosha wafadhiri,kesi ya escrow kinachoendelea ni usanii,bil 73 hazina maelezo

    Tunataka lumbesaaaaaaa,benk kama stanbic mpaka leo billion 73 zimepotea kimya kimya ivi hii nchi kweli ina utawala unao jali wa taznania????kikwete plz
  5. J

    Membe acha kupotosha wafadhiri,kesi ya escrow kinachoendelea ni usanii,bil 73 hazina maelezo

    Membe unaendelea kututukana na kutudharirisha watanzania kabisa,yani unaomba wazungu wafungue misaada eti kwamba mmekwisha washughulikia watuhumiwa wa escrow???ivi mbona izi dharau kwa watanzania zimezidi?? Unataka kutwambia kuwa tayari bil 73 zilizo ibiwa stanbic na vigogo wakuu mkiwemo wewe...
  6. J

    Sababu kuu 3 zinazowapa jeuri waliopokea mgao wa pesa za Escrow .

    Hamna kitu tunashuhudia unyanyasaji tu kikwete kama huwezi kuleta list ya stanibic bas ww ndie ulikula hizo pesa,mengine yote unayo fanya ni usanii na dharau kwa watanzania
  7. J

    Anna Tibaijuka, Andew Chenge na Wiliam Ngeleja, wasimamishwa Ujumbe wa NEC na Halmashauri Kuu ya CCM

    huyu kikwete amekiharibu chama kabisa,anakitumia vibaya,sio kiongozi ni mtawala huyu,hana sifa ya uongozi. Mashangaa sana anavyo lazimisha katiba kupita,kuna agenda gani ya siri??kwani sisi watanzania tumemwomba afanye haraka kutupatia katiba??anacho kimbiza ni nini kama hana analo kusudia...
  8. J

    Mbinu Mpya za Kikwete Kubaki Madarakani ni Kura ya Maoni

    Rais Kikwete kaigeuza Ikulu pango la wanyang’anyi! . Kamwe hawezi kuruhusu Ripoti ya PCCB ionekane hata kama ni kubadilisha Katiba aweze kubaki madarakani kwa kuongeza muda! Ndiyo maana analazimisha kura ya maoni Katiba Mpya ili nchi ivurugike, na yeye apate mwanya kuongeza muda na hatimaye...
  9. J

    Profesa Anna Tibaijuka atuma jopo kwa Mangula

    Mhh ila kwa mtu aliye fukuzwa uwaziri j/tatu alafu j.nne akapokelewa kishujaa bukoba kama tulivyoona akisindikizwa na magari kibao na pikipiki hazina idadi,pamoja na zawadi kibao akapewa na wananchi wake kama ng'ombe,mbuzi nk kutoka kwa mamia ya wana muleba--basi ni dhahiri kuwa ilo jopo chini...
  10. J

    Profesa Anna Tibaijuka atuma jopo kwa Mangula

    KAMUGUNGA lete uthibitisho acha kubwabwaja ,kama umetumwa pole make naona una haibisha sana kabila lako,wahaya hawana tabia ya kutumika kama toilet paper??bila shaka utakua mkimbizi wewe,unatia shaka,kama amewatuma wacha awatume wewe shida kwako iko wapi,ama na wewe unaweza kutuma wako ili...
  11. J

    Mchechu, kama umeshindwa kazi utoke

    duh...kumbe na kelele zote zile pamoja na jasho jingi lililo mtoka na koo kukaukiwa kumbe alikua anapigia debe kupelekwa ughaibuni na mchechu ili akashangae magorofa??jamani jamani wananwake tunajidharirisha kiukweli
  12. J

    Bro Mchechu wa NHC, Majumba unayojenga una uhakika utapata wateja?

    Duh anafaidi mshahara wa dola 19 elfu kwa mwezi,hii ni moja ya sababu kubwa iliyo mwaondoa tibaijuka madarakani,kwani ilikua ni vita,kazi hii ameimaliza lukuvi kwani aliletwa makusudi kumlinda na kutekeleza hilo suala,kitu ambacho alitekeleza mara moja baada ya kuingia ofisini
  13. J

    Mwigulu Nchemba tafadhari sana,tumechoka na unafiki wako, lipa kodi kwa haya mabilioni uliotumia

    Haki sawa kwa wote,umekua kinara wa kutulaghai watanzania kwa maslahi yako binafsi na kupiga kelele kibao ili uonekane mwema,na mbaya zaidi unajifananisha na nyerere ama sokoine huku ukiwaadaa watanzania eti wao ndio wanakuita ivo,unafiki huu utakugharimu sana na huna uzalendo wowote. Samahani...
  14. J

    Uvumi na uongo unao enezwa kuhusu Tibaijuka

    Wapendwa wana jf,kwa muda sasa toka mhe.rais amsimamishe kazi mhe. Tibaijuka,kumekuwepo na uvumi na uongo mwingi unao tungwa na kusambazwa kwa kasi sana tokea siku mhe.rais amwajibishe waziri huyo,sijajua msingi hasa wa watu hao kufanya ivyo ni nini,Imefika mahali hadi picha zake za kipindi cha...
  15. J

    Tibaijuka adhibitiwe, ataisambaratisha CCM

    msimamo wa tibaijuka uko wazi toka bunge la katiba,wala hajayasema haya jana wala juzi,yeye ni muumini wa wabunge wasiwe mawaziri,alilisemea hili toka bunge la katiba na wala sio leo tu,nenda kwenye hansard za bunge uone kauli na mchango wake,acheni kupotosha umma
Back
Top Bottom