Escrow Kimenuka: Uongo wa Taarifa ya Kamati ya PAC kuhusu sakata la ESCROW

faizafoxy mbona unaweka akili mfukoni,au unamnanga zzk kwakuwa alikukataa.Mfuate tezi dume yule ndo anagawa ukuu wa wilaya si PAC
 
aaaah foxy wanakutumia vibaya mpaka sasa bado hawa wanataka kukuzungusha? astaghafillulah.... hizo episodes za zamani sana sasa tupo episodes za mbele sana. ila jitahidi unajua hata unapotumika kuna kipimo chake... so epuka kutumika mpaka kudhalilika... after all huyu unayetaka kum tetea sasa ni huyu ustaadhi wa juzi juzi hapa swahiba wa kikwete? lo salale... hivi dada wewe una dini kweli au ndo hizi hizi dini za............. mi naumia sana kuona watu maamuma kama wewe mnatumika kwenye habari ambayo wanayoijua wanajinyamazia tu
 
Aliyefukuzwa kazi ni mmoja tu na si kwa wizi, kumbuka hilo, kafukuzwa kwa ujinga wake wa kushindwa kufata kanuni za maadili ya kazi.

Mengine yote uliyosema ni porojo za hapa na pale, pitia ripoti vizuri uelewe ukweli ulivyo.

Ni lini lilikwisha? wakati hata Rais alisema uchunguzi wa kina utafanyika, na bunge limeomba uchunguzi wa kina ufanyike, umesahau? jee, ulishatangaziwa kuwa uchunguzi umekwisha? Fikiri.

Yaelekea wewe umeishakuwa msemaji wa ikulu na ndio wanaotoa porojo kama hizi unazoziandika hapa,huo uchuguzi unaousema mbona raisi aliomba muda afanye uchunguzi wake na akafikia utoa hotuba kwa wezee wezio pale Diamond Jubilee?,kama uchunguzi haukufanyika yeye alikuwa anatoa uamuzi kwa misingi gani?,Aliyefukuzwa hakuiba,kwa mtazamo wako Fine! alikiuka maadili gani na yanayohusu nini?,hakuna kufikiri hapa,muda wa kuwaongopea wananchi umekwisha na mtapambana na upinzani mkubwa tu mbele ya safari.
 
Escrow hakuna wizi, sijaona mpaka aliyenyooshewa kidole kuwa kaiba.

Ni nani?

PAP inaendelea kuzalisha umeme na wanalipwa kila mwezi toka account ya escrow ifungwe, jee, unalijuwa hilo?

kwa nchi hii sio ajabu kama mpaka sasa bado wanamtafuta mtu aliyemuua Mwangosi wakati mkanda unaonyesha wazi jinsi anavyolipuliwa na bomu, ila iko siku mamboyote hayo yatakwisha kwani hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. hizi ni busara zetu sisi kina gogo la shamba
 
kwa nchi hii sio ajabu kama mpaka sasa bado wanamtafuta mtu aliyemuua Mwangosi wakati mkanda unaonyesha wazi jinsi anavyolipuliwa na bomu, ila iko siku mamboyote hayo yatakwisha kwani hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. hizi ni busara zetu sisi kina gogo la shamba

Na aliyeko ndani na kwenda mahakamani kila siku hujaona? wewe kweli umelala doroooo.
 
Yaelekea wewe umeishakuwa msemaji wa ikulu na ndio wanaotoa porojo kama hizi unazoziandika hapa,huo uchuguzi unaousema mbona raisi aliomba muda afanye uchunguzi wake na akafikia utoa hotuba kwa wezee wezio pale Diamond Jubilee?,kama uchunguzi haukufanyika yeye alikuwa anatoa uamuzi kwa misingi gani?,Aliyefukuzwa hakuiba,kwa mtazamo wako Fine! alikiuka maadili gani na yanayohusu nini?,hakuna kufikiri hapa,muda wa kuwaongopea wananchi umekwisha na mtapambana na upinzani mkubwa tu mbele ya safari.

Sikuelewi unachotaka kukisema haswa ni nini, naona unahororoja bila mpango.
 
Na aliyeko ndani na kwenda mahakamani kila siku hujaona? wewe kweli umelala doroooo.

Mahakama ndio jela au alioko mahakamani tangu lini ukaambiwa ana kosa kweli wewe ndie uliolala sisi kina gogo la shamba ni wasema kweli wala usije hata siku moja ukafikiria tuna upendeleo na mtu au chama kama unasikia tunawasema ccm ni kwa ubaya wao, wala ingawaje tunajali mawazo ya watu makini
 
Mahakama ndio jela au alioko mahakamani tangu lini ukaambiwa ana kosa kweli wewe ndie uliolala sisi kina gogo la shamba ni wasema kweli wala usije hata siku moja ukafikiria tuna upendeleo na mtu au chama kama unasikia tunawasema ccm ni kwa ubaya wao, wala ingawaje tunajali mawazo ya watu makini

Wewe hata sikuelewi mantiki yako wala maandiko, yako na huyo ndiyo kachota fedha za escrow?

Ulitaka umeme wa bure?
 
kwanini hawakulazimisha au kupendekeza serikali itoe orodha ya stanbic???naamin kabisa bila shaka kuwa kuna uwezekano wa asilimia 90% kuwa zitto alikula mgao make kuna tetesi kuwa lukuvi yeye alipata 2billion na ikumbukwel kuwa huyu lukuvi nae alikuwepo kwenye kamati ya maridhiano.

Sasa kama kweli zitto na wenzio nyote mna uzalendo wa dhati mbona hata mtaani hatusikii mkiomba orodha ya stanbic tena ambapo pesa ndefu sana zaidi ya gawio la ruge billion 73 zilibebwa na wezi mashuhuri walio kwepa transparency na kubeba kwa lumbesa n.k

wakuu naanza kuamin kabsia walio gawiwa bank ni makarafa kulinda wezi kabsa,siamin kama hawa watu wa mkomboz waklikua na nia ovu ya kuwa na taarifa za kuwa pesa izo za ruge ni za wizi,siamini kama wangekubali kabsa pesa zao zipitishiwe bank ,kuna maigizo hapa.
 
Hata serikali yenyewe imewekwa mfukoni , kwani nayo inauwezo zaidi ya PAC kwann isitoe hiyo orodha?
Au na mkuu wa kaya alipata mgao??
 
Kwani kamati ya PAC ina uwezo kwenye maamuzi au bunge ,mahakama na serikali ndo wenye maamuzi?Kama wewe hilo la Stanbic unalijua ukiwa na uhakika nalo mbona wewe huliweki wazi hata ikilazimu uende mahakamani au nawe huna UZALENDO kama kamati ya PAC?
 
Tazama post yangu nimebandika saa ngapi na dakika ngapi? na post yako umebandika saa ngapi na dakika ngapi? kwa dakika mbili tu, usome, uangalie vielelezo, na urudishe majibu?

Hapana, si kweli.

Kuwa mkweli wa nafsi yako. Usijidanganye.

Asome ya kazi gani? wewe unatetea uovu!! Hela zimetolewa kinyume cha taratibu watu wamegawana wewe na wenzio mnatafuta jinsi ya kuwasafisha? umahidiwa ukuu nini na awamu ndio inaelekea ukingoni hii?
 
ni aibu kutetea wezi kama unavyofanyika hapa chama hakiwezi kuwa cha muhimu kuliko nchi, muone aibu
 
Hivi umeshapitia yote yaliyoandikwa na kupitia viambatanisho kwa dakika mbili tu? na kuja na majibu ya jumla jumla kuwa ni maigizo? hebu kuwa mkweli wa nafsi yako.

Sasa nieleze lipi ni igizo na kwanini ili nilipitie, usije na hoja za kuponda jumla jumla kabla hata hujasoma, unajishushia hadhi na uelewa wako.

Watu wako vizuri upstair sio slow learner kama wewe unaleta vipolo humu ndani
 
Faiza ukweli unabaki kuwa Kamati ya PAC iliendesha zoezi la uchunguzi wa miamala ua eskrow kisiasa na waliotenda kuwasulubu mahasimu wao wa kisiasa. Ndio maana kuna facts ziliachwa kwa makusudi ili wafikie malengo yao. Walitakiwa nao washitakiwe kwa kuwaficha mafisadi wanaosemekana kuwa walichukua pesa kwa visandarusi Stanbic bank.
 
Makala hii sidhani kama ina umuhimu tushaliweka hili swala mahala pake hapa duniani na mbinguni

Hivi hela ya mboga uliifaidi au mboga ulipunguziwa,,,, shame upon them jasho litawatokea puani watakoma sisi nguvu zipo za kuwaambia ukweli
 
Faiza Foxy jaribu angalau kidogo kufungua ubongo na akili yako, think out of this ''CCM box''. Tatizo lako hadi akili yako imejaa U-ccm, sasa yanapokuja maswala ya msingi unapata shida sana kutenganisha lipi ni CCM na lipi ni swala la msingi la maendeleo. Watuhumiwa wote wanakiri kupokea fedha, wanashindwa kuelezea umma ni fedha za nini, hadi sasa hakuna hata mmoja aliyetoa maelezo ya maana, wewe bado tu unataka kuwasafisha. Acha fikra mgando.
Kizazi chako kitapata tabu sana

Well said. Kula like za kutosha.
 
Sikuelewi unachotaka kukisema haswa ni nini, naona unahororoja bila mpango.

Naona unaanza kuwaza na kuandika kilugha.Juhudi zako za kuwasafisha waharifu zikifanikiwa utakua mkuu wa wilaya huko kwenu Uhororoja.kila lakheri.
 
Back
Top Bottom