Mchechu, kama umeshindwa kazi utoke

Mchechu, kama umeshindwa kazi utoke

Yeeee..uyudu ponegeja ma dolali shi sezae

Nakwiza hado ng'weji gwa kane, hamo ulu tulibone tukuyomba. Nalihaya nize nasole makaratasi ga kwi gasha aha miaka ine, nakubi na shiku idatu ja ku ga tumamila ahenaho e Dar. Eli kanza lyenilo udukije kunibona.
 
mchechu ni moja wa maceo wazuri kabisa waliopo hapa tz leo labda na yule jamaa wa tpb mwacheni afanye kazi


Hivi kwa nini watanzania mkisifia watu hamtoi facts wala verifiable achievements? yani ni mapambio tu,bila substance.

2005 JK alisifiwa weee, madhara yake alipoingia madarakani watu wakawa disappointed beyond comprehension.

Sijaona u-exceptional wa huyu bwana mchechu. NHC keeps on making terrible choices.
 
Ina maana Tanzania haina wataalamu hadi ajazurule huko Dubai? Tanzania imejaa uchochoro kila mahala, kisa ma afisa ardhi na mipango miji wako maofisini! Baada ya sifa nyingi na yy ka anza za JK (route).

Hawa majamaa wanapaswa wawe wana saini vitabu ofisini then site!

Daah hivi mafaili huwa hayaishi?
 
mchechu ni moja wa maceo wazuri kabisa waliopo hapa tz leo labda na yule jamaa wa tpb mwacheni afanye kazi

Nadhani hatuelewani kwa jambo dogo tuu kamati ya wabunge na waziri wa ardhi na makazi kwenda nje ya nchi kwenye ziara ya kikazi ni sawa kweli? huyo ceo wako sijamgusa
 
:becky::becky::becky::becky::becky: Labda ndio maana ameenda huko nje ili awe na viwango vya kimataifa...
formative years zake zimeshapita, ukikulia katika mazingira yetu ya kibongo na work ethics zetu hizi za ujamaa na kuvumiliana hauwezi kubadilika ukubwani kwa exposure za kusafiri safiri, haiwezekani. Jakaya Kikwete angekuwa the best president in Afrika kama angekuwa anajifunza kwa exposure ya kusafiri safiri, maana JK ana air miles nyingi kuliko ma pilot wa KLM . Tayari formative years zao zimeshapita.
 
Nikusaidie kidogo reforms za NHC zilianza siku nyingi, kumbuka sekta ya nyumba ilikuwa na THB NHC Msajili wa majumba na Nyumba za serikali chini ya ujenzi.

Reforms ya kwanza ilikuwa kudisolve THB iliyoonekana haifanyi vizuri, hili lilikuwa shirika la mwanzo kabisa kuchinjwa. Badae ikaja kuunganisha NHC na Msajili wa majumba na kuunda shirika moja la nyumba NHC. wakati ule fedha zote zilizokusanywa zilienda hazina kwenye general fund na badae NHC waliomba ruzuku kutoka serikalini.

Baada ya Magufuli kwenda wizara ya ardhi alibadili mfumo wa uendeshaji wa shirika hili kwa kulibadili na kuwa shirika linalojitegemea kwa kukusanya mapato na kuwekeza, pia alibadili viwango vya kodi ili viendane na soko na hatimae lijiendeshe kwa faida,

Magufuli alianzisha mradi wa property development kwa kushirikiana na private partners, huku kwetu yapo majengo kama saif plaza na mipa plaza, na ndo hayo majengo Mchechu kila siku anafungua as if ni fedha za NHC kumbe ni wafanyabiashara wamejenga katika viwanja vya NHC.

Baada ya magufuli kuondoka ardhi alikuja prof.tiba alimkuta tayari alishaanza kuyumba lakini baadae alimsimamia na akaanza tena kuperform chini ya usimamizi wa prof, sasa prof kaondoka ni dhahiri ameanza kupwaya, naamini prof angekuwepo asingefanya huu uzururaji. Kimsingi hakuna mantiki ya yeye kuwa na msururu wa wabunge huku na huko sasa Lukuvi anafanyakazi gani? hao wabunge wakichachamaa bungeni hawatamhoji Mchechu watamhoji Lukuvi yale yale ya Nyalandu na Nundu pale uchukuzi.

Baada ya Magufuli wizara ilishikwa na Chiligati ambaye naye alikabidhi kijiti kwa Tiba. All in all do a fair justice NHC kabla ya Mchechu na baada ya Mchechu. Kwa ufupi Mchechu ni visionary leader ambaye pia amejua anahitaji mtendaji gani kwa nafasi ipi na ndivyo hata kina Morinho wanavyofanya ili mafanikio yaje. Hebu tuhamishe hii whistle blowing kwenda Railway na ATC tuache wanaojitambua wafanye kazi
 
Nadhani hatuelewani kwa jambo dogo tuu kamati ya wabunge na waziri wa ardhi na makazi kwenda nje ya nchi kwenye ziara ya kikazi ni sawa kweli? huyo ceo wako sijamgusa

Nakubaliana na wewe kwa asilimia nyingi hasa pia ukizingatia muda waliobakiza kisiasa. Ni imani yangu ziara hii haikuwa kwenye mipango ya NHC labda kama ni sehemu ya bajeti za bunge
 
Ha ha ha Mdee amelipwa fadhira yavkazi aliyo fanya bungeni mwezi wa tano akitumwa na mchechu kumdhibiti waziri wake....kweli siasa ni mchezo mchafu sana
 
ha ha ha mdee amelipwa fadhira yavkazi aliyo fanya bungeni mwezi wa tano akitumwa na mchechu kumdhibiti waziri wake....kweli siasa ni mchezo mchafu sana

duh...kumbe na kelele zote zile pamoja na jasho jingi lililo mtoka na koo kukaukiwa kumbe alikua anapigia debe kupelekwa ughaibuni na mchechu ili akashangae magorofa??jamani jamani wananwake tunajidharirisha kiukweli
 
Mleta huu uzi, issue yako haina mashiko,shirika kama NHC kupeleka wabunge safari ambayo naamini ina objective sioni kama ni issue.i see this to have some element of personal issues.NHC so far is doing fine,unaweza fananisha na TANESCO or BIMA or TTCL? Peleka huko bar issue yako
 
Mleta Uzi hebu njoo na Uzi mwingine kuhusu TRL na ATCL maana unaonekana una uchungu na nchi yako. Pia mpe neno muasisi wa kusafiri kila siku le profeseur Kikwete.

All in all utendaji nchi hii una uhusiano mkubwa na siasa, ili ubakie salama kwenye nafasi lazima uwafurahishe kamati ya bunge. Ukiwabania watakulipua daily
 
Ulisha wai ona wakizunguka namna hii wakiwa na Tibaijuka, kwenda kwenye ziara za mafunzo. Sana sana ziara wakati wa tibaijuka zilikuwa kutafuta fursa za uwekezaji tu. Hivi kuna sababu gani ya kuchagua CEO halafu azunguke tena kufanya mafunzo ni skills zipi tuliangalia kabla ya kumteua leo watuambie wanaenda ziara za mafunzo. Hivi vitu vina make sense ndani ya Tanzania tu.

Halafu mbona awaweki tena financial report mpya it is 2015 hiko wapi report ya 2014?

Huyu jamaa kilicho msaidia ni ongezeko la kodi ya adhabu kwa wapangaji tu, lakini hakuna creativity kodi ndio kidogo ina msaidia kwa sasa kuonyesha shirika lina faida, new valuation ya assets zao, na assets ambazo bado awajauza; lakini miradi ni bomu kama alivyo CEO.

Nyumba zao za kule dodoma jimbo la Ndugai raisi kaishia kudai halmashauri wazinunue. Sasa sijui halamashauri gani inayo miliki viwanja kama ina nia ya kukopa which will be cheaper for them kukopa kujenga au kukopa kununua NHC?

Paka akitoka panya utawala mshahara wa millioni 32 atapata na safari za wizara sijui kamati zitakuwepo kama hongo kwa tanzania maana yake business as usual, tunatabia ya kufuata mkumbo wa watu wabaya na kufukuza mawaziri walau wenye uthubutu, majungu mpaka mama wa watu kaondolewa.

Nyie wahaya mna chuki binafsi, husuda na wivu kwa Nehemia Mchechu Kyando, mkinga mchapakazi. Mama Tibaijuka ameacha migogoro ya ardhi kila kona ya nchi wakulima na wafugaji wanauana. Kipindi cha uongozi wa huyo Mama wa Escrow ndo wakulima na wafugaji wameuana zaidi katika historia ya nchi hii, kashindwa kutatua, kashindwa kupima ardhi. Shirika pekee lenye mafanikio wizarani kwake Ni NHC kwa sababu ya Mchechu, ndio Tibaijuka kajivika hayo mafanikio ionekane yeye. WTF
 
Unafahamu sasa hivi kuna part buy part rent schemes na wewe ndie uliekuwa wa kwanza kuja hapa kutuambia nyumba zote zimelipiwa cash na zimeisha.

Hizi habari za part buy part rent zimekuja lini? au walidhani watu mapunguani wataji-commit na ma mortage ya ajabu tena yenye short life.

Ndio maana nikauliza ni ngapi zimenunuliwa na individuals kwa sasa? naona longo longo isitoshe hipo wapi financial report yao iliyo hakikiwa na CAG ya mwaka jana. Naona mmkezana tu he is genious, he is genious sasa kama unakopa kwa sababu ya kujenga si utajenga tu.

Je return inarudi kama ilivyo pangwa awali au kwa sasa kuna new strategy to shift kwanza zile zilizozagaa kwa namna zingine and how is this in-line to earlier debt commitment.

Jibu kwanza hayo walau tuendelee vinginevyo stick na uvuvuzela.

We mhaya vipi wewe, Financial report ya 2014 unaiomba February 2015!!! Hata ya Apple au ya Google haijatoka unataka ya NHC. Kweli wivu Ni kidonda,,, kuwa objective basi uombe na ya NSSF, BOT, TRL, ATCL na Tazara
 
Nyie wahaya mna chuki binafsi, husuda na wivu kwa Nehemia Mchechu Kyando, mkinga mchapakazi. Mama Tibaijuka ameacha migogoro ya ardhi kila kona ya nchi wakulima na wafugaji wanauana. Kipindi cha uongozi wa huyo Mama wa Escrow ndo wakulima na wafugaji wameuana zaidi katika historia ya nchi hii, kashindwa kutatua, kashindwa kupima ardhi. Shirika pekee lenye mafanikio wizarani kwake Ni NHC kwa sababu ya Mchechu, ndio Tibaijuka kajivika hayo mafanikio ionekane yeye. WTF
Wivu wangu sijui hupo wapi wakati na mimi ni stakeholder wa hilo shirika kama alivyo raia mwengine wowote.

Hivi Mama Tibaijuka ndio mgawa ardhi ya serikari au halmashauri usika ndio zinatenga ardhi, kama kuna matatizo ya ardhi ni watengaji wasiojua ardhi ya eneo lao ni hipi kwa sababu ya makazi ya leo na kesho, kilimo, ufugaji (ambao kwakweli auwezakani tena kwa sasa kwa namna ya kudhurura), ardhi ya biashara na utumikaji mwengine wa leo na kesho kutokana na changamoto za taifa.

Sisi kwetu madiwani wameuza hata recreation areas; yaani hakuna hata sehemu ya watoto kuchezea mpira tena ni vumbi kwenda mbele na migorofa hata upepo kuupata ni shida. Kinacho uzi zaidi midala dala inaingia na kutoka kama vile tupo central ya jiji tatizo kubwa ni serikari imeshindwa tanua huduma zake na population ya mji inavyozidi na mtaani wageni wanazidi sijui huko mipango miji walifunzwa nini huko vyuoni maana jamaa ni kaput kabisa.

Huyo Nehemia wako nae licha ya kutuongezea kodi kwa asilimia zaidi ya miambili alitaka kutuongezea na matatizo eti aje avunje magorofa mengine ajenge mapya kisa sehemu inalipa na aonekane analeta faida hizo akili zinawafaa wapenda pesa tu wasio na akili na wasiojali mazingira wala quality of life ya raia.

Kutaka kuongeza density on an already well congested community with poor infrastructure and local amenities to support an already populated neighbourhood anaonysha ujenzi sio fani yake; pheew thanks god wananchi, mahakama pamoja na mama Tibaijuka mwenye uelewa wa haya mambo (oh kwanza kaondoka mungu wangu sijui itakuwaje) nao waka kaidi kuhama.

Sasa basi kwakuwa alitegemea akope na avunje sehemu zenye malipo ya haraka haraka na mambo kidogo yamekuwa magumu anaanza kuwa exposed miradi yake ni bomu, kama alivyo yeye he has no tricks zaidi ya kuongeza kodi na ndio sababu kubwa ya kupata faida (sasa unajua kwa Tanzania mfanyakazi wa serikari ukimuongezea kodi na mshahara wake huko stagnant ina maana umpi namna zaidi ya kujifunza wizi simply it is matter of do or die) kikubwa alichoboresha labda jitihada za kukusanya sasa ni imara kwa sababu ya mikwara, lakini wafanyakazi wanao shirikiana na wahindi wapo pale pale kutaka kunyan'ganya haki za wapangaji. Vinginevyo ebu mwambie alete maelezo ya mikopo na investment alizofanya tuone kama yupo ahead of that na kapata faida, I dare you.

PS mimi sio muhaya na wala sina tatizo kuwa kabila lolote ndani ya Tanzania ni utambulisho tu usio na tija If i had my ways in that land kitu cha kwanza kukishughulikia ingekuwa hicho ni marufuku kuongea kilugha cha aina yoyote zaidi ya kiwashili. Kwa sababu kabila serve no purpose today zaidi ya kuongezea utambulisho mwingi usio na faida za jamii na fikra za makundi tu ambayo yanaweza baguana na kupendeleana kwa sababu za kipuuzi, if anything lugha ya Msechu naweza isikia kwa karibu zaidi ya kihaya.

We mhaya vipi wewe, Financial report ya 2014 unaiomba February 2015!!! Hata ya Apple au ya Google haijatoka unataka ya NHC. Kweli wivu Ni kidonda,,, kuwa objective basi uombe na ya NSSF, BOT, TRL, ATCL na Tazara
Hujui unacho kiongea wanatoa quarterly performance au every six moths hivi unajua hata kanuni za mashirika yanayo uza hisa kwenye soko na majukumu yao kuonyesha mahesabu hili kutoficha sura halisi ya biashara na watu waweze fanya informed decision, mpaka wakikopa wanasema deni linaenda wapi hili werevu wajue kama biashara hipo hapo au vipi, this is why they have watch-dogs and announce profit or losses every now and then.
 
nakwambia hapo hakuna mtu. Toka yule mama msomi prof. Anna tibaijuka atoka katika wizara hiyo hakuna kinachoendelea tofauti na wizi mtupu
ccm haitaki wasomi hata kidodo haifai kuiongoza nchi kama wasomi wanaokubalika kimataifa wao wanawatosa na kuwadhalilisha basi ni dhahiri kuwa ccm haitaki wasomi wazuri km prof. Anna tibaijuka na prof. Muhongo ambao sisi watanzania tunawaitaji na kuwalilia mpaka kesho

Bora mara mbilioni na mabilioni kuwa na waziri asiye na elimu lakini mzalendo na mwenye uchungu na wanyonge kuliko waziri msomi na jizi lililokubuhi na linalotambulika kimataifa kwa usomi.
 
aende kwa alhaji dau pale nssf akalishwe kitako aelekezwe kazi

kazi ni vitendo siyo maneno matupu haina maana

pesa za walalahoi zinapaswa kuwekezwa katika mambo yenye tija na yanayoonekana
abadili dini kwanza ndiyo aende kwa alhaji dau!!!!!!!
 
abadili dini kwanza ndiyo aende kwa alhaji dau!!!!!!!

KUMBE DINI YA ALHAJ DAU NDIYO INAMFANYA AWE BEST PERFORMER KIAS KILE??

TEH TEH TEH TEH

BASI KWELI MCHECHU ANASTAHILI KUBADILI DINI AISEE

AU WE UNAONAJE?

ALHAJ DAU KIBOKO YAO :yo: :yo: :heh: :rockon:
 
Back
Top Bottom