Habari za majukumu wakuu. Naomba msaada juu ya haya.
1. Inakuaje kama una mkataba wa ajira, halafu baada ya siku kadhaa, mwajiri akakuongezea majukumu yaliyo nje ya makubaliano/mkataba na akakutaka kuyafanya majukumu hayo kwa lazima hata kama sio professional yako.
2. Na vipi kuhusu kulipwa...
Kwa akili yako ndogo huwezi hata kufikiria kama school of health Science imeanzishwa mwaka huu, na prospectus yenye school of healthy science ni mwaka huu. Alafu inakubidi utambue kwamba UDSM ni institution kubwa ambayo inaajiri, kwa hyo kama kaajiriwa kwa uboya wako unaona ni shida!! Jielewe we...
Usiseme mambo usiyoyafaham, udsm in Walimu wa kutosha hyo Human anatomy and physiology wapo wakuifundisha hadi surplus. CONAS imeanzishwa miaka mingi tu.. Inafundishwa human anatomy and physiology, hata physical education iliyoanzishwa mwaka 1992 pia ina walimu wenye uwezo wa hali ya juu wa...
Dah! Kweli tuache ushabiki wa ajabu, Mhe. Rais alisema sukari imepitiwa na muda(expired) na kwamba inasababisha magonjwa ya ajabu kwa watanzania, halafu badae akatangaza sukari hyohyo anawapatia wananchi bure. THINK BIG.
Rais ni binadamu km sis yeye pia anakosea, anapokosea asikilize ushauri...
St. Lawrence schools (Paris paris, cleamland, crown city, London college) ni shule za starehe zile... performance yao hua ni ya kawaida sana... labda kama wamebadilika shule zile kongwe ndo hatari Kings college Buddo na nyingine km hzo...
Dah! hapo mmenikumbusha mambo mengi sana... hongereni sana kama mlimalza shule salama! make kuna wengine walishindwa kumaliza shule kwa kujiusisha na mambo yasiyo ya msingi...!
Ofcoz swala la club na hata stareh nyingne zpo sana ila mara nyingi wanafaid wanafunz wa day ila boarding ni pagum sana pia swala la shule za wakiso ni nzuri nyingi ila kwa majengo na zipo ambazo ni nzuri kwa masomo pia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.