Recent content by Joh Doe

  1. J

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    JITU BANDIA kampuni gani za kamari hazina ujanja ujanja kulipa hata uwapige parefu sana?
  2. J

    Ukitaka kujua mwanamke ni msafi angalia miguu yake

    Ukiona watu wanapigana vikumbo sana kupata nafasi za kugombea uongozi, mara nyingi ni ishara ya kuwa huhitaji akili nyingi kuongoza.
  3. J

    Umri miaka 29 Sina mke Wala mtoto

    Hahahaa hakuna kitu kinaitwa kuchelewa ktk maisha ukiwa mwanaume, kuna sababu ya msingi kwa nini unaweza kupata watoto hata ukiwa na miaka zaidi ya 70. Marehemu Mzee Reginald Mengi alipata watoto wa mwisho mapacha akiwa na miaka 70 mwaka 2012 na K-Lyn aliyekuwa na miaka 34. Mwanaume focus yako...
  4. J

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Timerlane nakubaliana na wewe. Kinachoigharimu Arsenal kwa sasa ni hofu ya kisakolojia ya kushinda makombe, ubora wa Arsenal ndani ya hii misimu 3 ni mkubwa mno. Mshambuliaji wa kati pekee hatoshi kubadili psychological fear. Confidence huja hata kwa kubeba vikombe vidogo vidogo kama FA na...
  5. J

    Nauza kiwanja changu hakina udalali

    Sio kweli, sentimita 100 (mita 1) = sentimita 90 (futi 3)? Mita 1 = futi 3.3 Hiyo futi 48 kwa futi 54 ukigawa kwa futi 3.3 itakuja mita 14.5 kwa mita 16.4 Endapo ukifanya hesabu jinsi ulivyofanya wewe kuna ongezeko la mita 1.5 kwa mita 1.6
  6. J

    Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

    Mwanamke ana uwezo wa kuua ndoto ya mwanaume. Hujawahi kuona wachezaji au makocha wanakataa kwenda kufanya kazi na baadhi ya timu kisa wake zao hawaipendi miji zilizoko hizo timu?
  7. J

    Kuomba mchango wa harusi ni matusi makubwa

    Mimi juzi kuna mtu kanitumia kadi ya mdogo wake wa kike send off. Binafsi hii michango huwa sichangii. Ugonjwa, misiba au mtaji wa biashara pekee ndiko ninakotoa pesa.
  8. J

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Uliyempa -2 ashinde kwa tofauti ya goli 3 mfano 3(-2)-0 au 4(-2)-1, wakati huyo wa +2 ashinde au sare ila asifungwe zaidi ya goli 1 mfano 1-0(+2), 2-1(+2). Hasi maana yake mbabe katanguliwa kabla mchezo haujaanza lazima ashinde zaidi ya hizo goli. Chanya umemtanguliza kibonde asifungwe zaidi ya...
  9. J

    Shida ni nini kwenye haya maisha? take its so serious.

    Tafsiri ya mafanikio unayotaka wewe ni ipi? Unaweza kukuta upo ktk hatua nzuri ila kwa sababu unajilinganisha na wengine ndio unaona kama bado.
  10. J

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huwa napenda kucheza timu mbili tu. Leo sijui tamaa gani iliniingia, utafiti wangu ulimkataa Raja pamoja na AS Far Rabat.
  11. J

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Benfica vs Vitoria Guimares - Over 2.5 goals @1.60 Benfica wamecheza mechi 6 za ligi nyumbani msimu huu na kufunga goli 22, wastani wa goli 3.6 ktk kila mchezo. Mechi 5 kati ya 6 walifunga zaidi ya goli 4, walishinda 4-1 vs. Porto, 5-0 vs. Rio Ave, 5-1 vs. Gil Vicente, na 4-1 vs. Santa Clara...
  12. J

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii option inayotoa nafasi ya kuleta uwiano wa mchezo kwa kuruhusu timu mojawapo ifungwe au iongoze kabla mchezo haujaanza. Technically, ufanyaji kazi wake unafanana na double chance ila unakupa option to move the line to the best odds as possible. Mfano wa handicap; mchezo wa jana kati L'pool...
  13. J

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huwa unaangalia taarifa rasmi za timu kuelekea mchezo husika? Majeruhi, morali au nani kasimamishwa? Huwa vinaathiri sana matokeo ya mchezo. Stuttgart leo wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza hawakusafiri na timu Undav, Lewing, Al-Dakhil wote hawa hawakuwepo hata kiungo wao mkabaji Stiller alicheza...
  14. J

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mimi City hajawahi kuniangusha hata siku moja mechi zake ni over 2.5 au first half over 0.5. J4 anacheza na Feyenoord J2 L'pool zote weka hivyo hivyo.
  15. J

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mbona wameshinda? @1.30 odds. Au ulitaka over 2.5? Gala sio mzuri sana away.
Back
Top Bottom