chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,359
- 27,739
Mkuu viwanja Mwasonga bei IPO vipi ? Mfano kiwanja cha 40m*40m ?Kwa watu wanaojitafuta panafaa ingawa makabila ya kule ni mtangirirere, ukila nchale ukikaa vibaya nchale, ukizubaa nchuchumui. Bora kama unajivuta kidogo kununua Mwasonga tu