Habari wakuu! Niliwahi kuandika hapa kuhusu biashara ya alizeti na mafuta yake!
Kwa mwaka huu kama unataka kufanya biashara fanya hii na itakulipa! Mafuta yameshuka Sana bei Hadi kufikia 48000 Kwa dumu la litre 20. So hapa uhakika wa kupata double profits Kwa mwaka huu upo.
Mm mwaka huu sina...
May be nikuulize hivi! Ukipandishwa daraj tuseme ukiwa E1 ina mshahara ya 900+. Je kuna categorisation itakufanya uende na hio au utarudi kwenye 700+ anayoanza nayo wa bachelor!
Nina option 2 by next year, kusoma CPA au masters japo hapa kwa masters sinanua sana course ipi naweza soma but open...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.