Mkuu mimi ni Kinyozi Binafsi,nina uzoefu na hizo nywele kwa miaka mitano nikiwa ktk jiji la Capetown south afrika.Popote nakufuata ndani ya Dar es salaam.Nicheki 0756331481
Mkuu Nashukuru sana kwa ushauriwako mzuri na wenyekujenga..
Kitu pekee ninachokipambania ni kupata utulivu wa nafsi nikiwa na familia ninayoipenda.Tatizo ni Hisia na huyu zimekata kabisa licha ya kujitahidi kujizuia lakini nimeshindwa.Miezi mitano sasa sijawahi furahia uwepo wake😥
Habari,
Bila kupoteza muda ni kwamba, mimi ni kijana wa miaka 34 sasa. Nilikuwa nchi moja Afrika katika kutafuta maisha kwa muda kidogo, sasa nikaona umri umekwenda itabidi nirudi nyumbani niangalie uwezekano wa kuwa na familia.
Sasa nilipofika home nikawa na wakati mgumu kumpata mwanamke...
Nimekuta Bikra akiwa na miaka 25,nikafanikiwa kuitoa kwa makubaliano kuwa nitakuwa mume wake ktk siku zijazo.Nikaambiwa kama nikimchezea atanilaani nisije fanikiwa ktk maisha yangu[emoji24].
Sijawahi kumcheat ila kwasasa hisia zimekata kabisa kwake.Nafikiria kukaa mbali nae ila naogopa laana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.