miles45
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,468
- 8,287
Kuna wanaume wengi sana wamekua blackmailed na wanawake kwa mambo ya kijinga sana. Yaani wanaume wamekuwa mateka wa wanawake bila sababu za msingi .
1: kukuambia bila yeye hauwezi kwenda, hii futa kabisa nje kuna wanawake wengi mno hadi utachoka wewe.
2: kwamba atakualaani, aisee kungekua na laana rahisi hivyo basi tungeanza na walio telekeza masingo maza hawa wanaume wote wangekua wanatembea wamevaa vyupi kichwani.
3: kwamba atakuloga, wewe kama mwanaume usiogope kwani waganga wapo kwa ajiri ya wanawake na wanaume, unaogopa nini....? Kama unasali sali sana kama unaagua agua sana. Infact mwanaume unatakiwa umshinde kila kitu huyu mkeo.
4: kukufanyia jambo baya, mzee adui wa mwanamke ni mwanamke kama vile ndugu yetu manara kaona kale ka rushaina sijui kana leta mdomo na kujikuta kaziri sana kaamua akaletee chuma chenzie na kukibrand vilivyo, hadi imefika hatua rushana kapotezwa mbaya. Yes huyu ndio mwanaume na sio kulia lia, mwanamke akijifanya anaroho mbaya mtafutie mwanamke mwenzie mwenye roho ya hatari hata kwa kumlipa hata ikifika mahakamani wanasimama wanawake so ngona inakua drow. Ila wewe kama mwanaume chance ya kumshinda mwanamke ni ndogo maana mifumo ya LGBT imetaradadi lila kona hivyo wacha Vyuma viumane.
5,
6....mtajaza mwenyewe
1: kukuambia bila yeye hauwezi kwenda, hii futa kabisa nje kuna wanawake wengi mno hadi utachoka wewe.
2: kwamba atakualaani, aisee kungekua na laana rahisi hivyo basi tungeanza na walio telekeza masingo maza hawa wanaume wote wangekua wanatembea wamevaa vyupi kichwani.
3: kwamba atakuloga, wewe kama mwanaume usiogope kwani waganga wapo kwa ajiri ya wanawake na wanaume, unaogopa nini....? Kama unasali sali sana kama unaagua agua sana. Infact mwanaume unatakiwa umshinde kila kitu huyu mkeo.
4: kukufanyia jambo baya, mzee adui wa mwanamke ni mwanamke kama vile ndugu yetu manara kaona kale ka rushaina sijui kana leta mdomo na kujikuta kaziri sana kaamua akaletee chuma chenzie na kukibrand vilivyo, hadi imefika hatua rushana kapotezwa mbaya. Yes huyu ndio mwanaume na sio kulia lia, mwanamke akijifanya anaroho mbaya mtafutie mwanamke mwenzie mwenye roho ya hatari hata kwa kumlipa hata ikifika mahakamani wanasimama wanawake so ngona inakua drow. Ila wewe kama mwanaume chance ya kumshinda mwanamke ni ndogo maana mifumo ya LGBT imetaradadi lila kona hivyo wacha Vyuma viumane.
5,
6....mtajaza mwenyewe