J Jogacom Member Dec 7, 2023 18 51 Feb 9, 2024 #1 Habari, Nahitaji salon ya kiume ya kununua hapa Dar. Mwenye anayo anicheki. Ahsante.
BOMBAY JF-Expert Member Apr 16, 2014 4,682 3,406 Feb 9, 2024 #2 Nami Nafuatilia Sent using Jamii Forums mobile app
JGimbuya Member Dec 30, 2021 16 15 Apr 8, 2024 #3 Hello ninayo Mkuu Salon ya kiume Iko Dar es salaam Goba kwa Moga inatazamana na Lami,sema sina picha zake apa ila ina kiwango kizuri changamoto imekuwa usimamizi maana mimi mwajiriwa nimekuwa kwa sasa nasafiri sana Mawasiliano yangu 0768370986 tuweze kujajenga
Hello ninayo Mkuu Salon ya kiume Iko Dar es salaam Goba kwa Moga inatazamana na Lami,sema sina picha zake apa ila ina kiwango kizuri changamoto imekuwa usimamizi maana mimi mwajiriwa nimekuwa kwa sasa nasafiri sana Mawasiliano yangu 0768370986 tuweze kujajenga
Kipondo Cha ugoko JF-Expert Member Apr 12, 2023 655 1,042 Apr 9, 2024 #4 Jogacom said: Habari, Nahitaji salon ya kiume ya kununua hapa Dar. Mwenye anayo anicheki. Ahsante. Click to expand... Vifaa je?? Kama viti?? Je unahotaji saloon ya kawaida au barbershop kabisa???
Jogacom said: Habari, Nahitaji salon ya kiume ya kununua hapa Dar. Mwenye anayo anicheki. Ahsante. Click to expand... Vifaa je?? Kama viti?? Je unahotaji saloon ya kawaida au barbershop kabisa???