Recent content by joey kool

  1. J

    Kashfa ya ESCROW yakwamisha ujenzi wa Maabara

    Hata mimi ningegoma kuchangia. Sio haki kidogo. Mhe. Ndugai ametumia 13m first class ticket pesa ya walipakodi. Serikali ina matumizi mabovu sana matokeo yake ndio haya.
  2. J

    Kwa habari hii gazeti la CCM/serikali mgao mkubwa wa umeme unakuja

    Wabongo viumbe wa akabu eti profesa amedhibiti mgao! Kwani mgao ni sifa? Mgao ni aibu ya ajabu ktk dunia ya leo, ni janga la kitaifa. Mipango mibovu ya maendeleo ya nishati, ubabaishaji wa serikali, mikataba ya kilaghai eg. IPTL etc ndio husababisha migao. Sasa gas kibao tunayo bei ya umeme...
  3. J

    Why CHADEMA will always be opposition party

    Afadhali kuarisha kuliko kuwashwa tigo ili ukojolewe.
  4. J

    Why CHADEMA will always be opposition party

    Wewe unaishi dunia gani? Naona ulikufa umefufuka huoni yaliokuzunguka? Huoni sera ya pingamizi ndio vision ya ccm?
  5. J

    Mkutano wa CCM Sinza C wadoda

    Wataweka pingamizi wapite bila kupingwa!
  6. J

    Hoja za wana-CHADEMA ni kuiponda CCM tu, hawana hoja za kimaendeleo

    Acheni kipotosha wananchi nimehudhiria mikutano mitatatu ya kampeni za ukawa huku kwangu salasala kilimahewa. Watu wanahudhuria wengi tuu na hoja muhimu kuhusu matatizo ya wakazi wa hapa yapo wazi. 1. Kero sugu ya maji 2. Ufisadi wa viwanja vya umma vya michezo na soko kuuzwa na viongozi wa ccm...
  7. J

    CUF wamewawaekea pingamizi CHADEMA Serikali za mitaa Geita

    Kwa hiyo umefurahi? Tuelezee sera za vyama tutawafanyia nini wananchi na sio upuzi eti ukawa imekufa.
  8. J

    Kuwawekea Pingamizi zaidi ya Wagombea 500 wa CHADEMA ni Kukuza Demokrasia?

    Inaelekea ccm wameamua kutumia pingamizi kama mbinu mbadala ya kuchakachua kura. Ikumbukwe kuwa ccm kinapata ruzuku maradufu kuloko vyama vingine.
  9. J

    Kwa kauli ya Mbowe, kesho rasmi narudisha kadi ya CHADEMA mtaa wa Ufipa

    Ukirudisha usiporudisha doesn't change a thing. Usishabikie siasa kama Barcelona na Real Madrid. Elimu na uwelewa ni muhimu katika kutoa hoja. Maridhiano sio Quran wala bible. Hekima ndio msingi wa maamuzi yalofikiwa. Wewe ulitakaje? Grow up politically dude!
  10. J

    AG Werema. Tanzania

    Truth will set us free!
  11. J

    USHAURI: Kila baba wa familia awaapishe watoto wake kutoipigia kura CCM 2015...

    Hivi bado kuna vise...nge bado vinaleta ukabila hapa? Wachaga ndio nani? Hebu peleka tigo yako huko kama inawasha eboooo.
  12. J

    Hata ikithibitika Fedha za Escrow ni za Wizi, Nawahakikishia, Hakuna Yeyote wa Kuwajibika

    Pasco well said bro. My point is nyakati ni tofauti enzi za EPA the political equation was different, munkhari wa wananchi regardless na political background ulivyo sasa wote wanaungana as one na wanataka kuona at least for once serikali iwajibishe wahusika. Hutaeleweka ukiwa tofauti.
  13. J

    CHADEMA yavurugika Kigoma

    Acheni propaganda za kilofa. Eti cdm kinakufa basi ccm hakipo kabisa. Mnaweweseka sana tigo zinawasha?
  14. J

    Maendeleo yataletwa na CCM - Nape

    Huyu mtu anaishi Tanzania? Yupo dunia gani huyu mtu? Anaishi kwenye ndoto ya kiza kama wafu. Eti ccm itawaletea maendeleo kwa hiyo hayajafika? Yapo wapi? Miaka 50 yapo njiani? So tueleze lini yatafika? Hivi huyu maswi ni mpinzani? Kuwaita wabunge tumbili na washenzi na wajinga nani anatukana...
Back
Top Bottom