Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,489
- 40,999
Hapa kwangu wanafamilia wote, watoto wa kaka zangu, mama yangu mzazi , msichana wa kazi na wapwaa zangu nimewaeleza kuwa CCM hawastahili kuchaguliwa katika nafasi zozote zile, nao wakanijibu kuwa hata nisingewaambia wasingeichagua CCM.
Nilifarajika sana, nikaamuru wakanunue keki na soda kufurahia kuwa ndani ya nyumba yangu hakuna aliyekosa akili.
Kwenye huu uchaguzi wa serikali za mitaa sitapiga kura naelekea kijiji kwetu kuhakikisha wagombea wa UKAWA wanapita. Napoteza kura yangu moja kwaajili ya kwenda kutafuta kura zaidi ya 1000 za wanakijiji.
Sijaombwa na yeyote, nafanya haya yote kwa faida ya Taifa langu. Wazalendo tuungane, tukusanye nguvu zetu, kila mmoja kwa namna yake ili tuondokane na hili balaa liitwalo utawala wa CCM. CCM ni mchongoma. Hata tusubiri miaka mingapi hatuwezi kupata machungwa toka kwenye huu mchongoma.
Nilifarajika sana, nikaamuru wakanunue keki na soda kufurahia kuwa ndani ya nyumba yangu hakuna aliyekosa akili.
Kwenye huu uchaguzi wa serikali za mitaa sitapiga kura naelekea kijiji kwetu kuhakikisha wagombea wa UKAWA wanapita. Napoteza kura yangu moja kwaajili ya kwenda kutafuta kura zaidi ya 1000 za wanakijiji.
Sijaombwa na yeyote, nafanya haya yote kwa faida ya Taifa langu. Wazalendo tuungane, tukusanye nguvu zetu, kila mmoja kwa namna yake ili tuondokane na hili balaa liitwalo utawala wa CCM. CCM ni mchongoma. Hata tusubiri miaka mingapi hatuwezi kupata machungwa toka kwenye huu mchongoma.
Tuanzie za mitaaa kutekeleza azimio hilo....