kikonyoro
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 715
- 331
chadema ni chama cha kilaghai
we umepoteza shilingi, unaishi zama za kale,ccm imekupofusha macho unahitaji ukombozi kwanza utubu dhambi za utapeli wa maisha bora kwa kila mtanzania
chadema ni chama cha kilaghai
A POLITICAL PARTY WITHOUT VISION AND MISSION IS A FAILED POLITICAL PARTY.
CHAMA KIMEKOSA
1. Kuwa taasisi imara it still depend personalities
2. Kmeshindwa kujibainisha kinasimamia sera gani
3. Asilimia 70 ya wananchi vijijini hawakifaham ni chama cha namna gani
4. Kimeshindwa kukuza demokrasia ndani kwa kutoruhusu wakosoaji
5. Kufa kwa ubunifu wa viongozi labda suala la elimu linaweza kuingia.
6. Kukosa sera madhubuti na kuishi kwa matukio na scandals. ina maana kusipokuwa na tukio then kueneza chama itakua kazi ngumu
KUNA VYAMA VYA KILAGHAI SANA HP TZ.
chadema ni chama cha kilaghai
Mkuu assadsyria3, hivi wewe ndiye uliyekuwa umekabidhiwa mikoba ya utabiri ya Sheikh Yahya?A POLITICAL PARTY WITHOUT VISION AND MISSION IS A FAILED POLITICAL PARTY.
CHAMA KIMEKOSA
1. Kuwa taasisi imara it still depend personalities
2. Kmeshindwa kujibainisha kinasimamia sera gani
3. Asilimia 70 ya wananchi vijijini hawakifaham ni chama cha namna gani
4. Kimeshindwa kukuza demokrasia ndani kwa kutoruhusu wakosoaji
5. Kufa kwa ubunifu wa viongozi labda suala la elimu linaweza kuingia.
6. Kukosa sera madhubuti na kuishi kwa matukio na scandals. ina maana kusipokuwa na tukio then kueneza chama itakua kazi ngumu
KUNA VYAMA VYA KILAGHAI SANA HP TZ.
A POLITICAL PARTY WITHOUT VISION AND MISSION IS A FAILED POLITICAL PARTY.
CHAMA KIMEKOSA
1. Kuwa taasisi imara it still depend personalities
2. Kmeshindwa kujibainisha kinasimamia sera gani
3. Asilimia 70 ya wananchi vijijini hawakifaham ni chama cha namna gani
4. Kimeshindwa kukuza demokrasia ndani kwa kutoruhusu wakosoaji
5. Kufa kwa ubunifu wa viongozi labda suala la elimu linaweza kuingia.
6. Kukosa sera madhubuti na kuishi kwa matukio na scandals. ina maana kusipokuwa na tukio then kueneza chama itakua kazi ngumu
KUNA VYAMA VYA KILAGHAI SANA HP TZ.
Wewe unaishi dunia gani? Naona ulikufa umefufuka huoni yaliokuzunguka? Huoni sera ya pingamizi ndio vision ya ccm?
Mkuu assadsyria3, hivi wewe ndiye uliyekuwa umekabidhiwa mikoba ya utabiri ya Sheikh Yahya?
Tunaomba utujuze tu,ili tukutambue rasmi kuwa ndiye mtabiri wetu mpya, kipande hii ya Afrika ya Mashariki na kati!
You seriously think so? Tell us more about 'ulahgai wao'. We need sound arguments to convince us; not just mere statements.
Do not ever fool yourself my friend. It is said that politics is the art of the possible. There is no one formula to carrying out political activities. Methinks the fact that you have taken trouble to write here something about Chadema and not TLP or DP is proof that the party has rubbed you in some way; it has either impressed you or it appears to pose a significant threat to the status quo.
A POLITICAL PARTY WITHOUT VISION AND MISSION IS A FAILED POLITICAL PARTY.
CHAMA KIMEKOSA
1. Kuwa taasisi imara it still depend personalities
2. Kmeshindwa kujibainisha kinasimamia sera gani
3. Asilimia 70 ya wananchi vijijini hawakifaham ni chama cha namna gani
4. Kimeshindwa kukuza demokrasia ndani kwa kutoruhusu wakosoaji
5. Kufa kwa ubunifu wa viongozi labda suala la elimu linaweza kuingia.
6. Kukosa sera madhubuti na kuishi kwa matukio na scandals. ina maana kusipokuwa na tukio then kueneza chama itakua kazi ngumu
KUNA VYAMA VYA KILAGHAI SANA HP TZ.
Chama kama alivyo mtoto kinakua, cdm kikiwa bado kijana wa miaka 22 ameshakua tishio kwa lizee la miaka 60 (since 1954) japo n kijana amekua threat mpaka umeona japo nawe uweke hadharani uwoga wako juu ya huyu kijana! nataka nikuhakikishie cdm inafahamika kila kona, vjijin hawana muda na falsafa wala itikadi ya chama wao wanataka mtu anayewatetea na majizi ya mali zao, huyu kijana ndiye mtetezi dhid ya majiz CCM-ESCROW
inabidi TAKUKURU ichunguze umoja wa vijana CCM hizi hela za kujenga jengo la pili pale lumumba wamepata wapi?
Je hazihusiani kweli na hela za ESCROW?
A POLITICAL PARTY WITHOUT VISION AND MISSION IS A FAILED POLITICAL PARTY.
CHAMA KIMEKOSA
1. Kuwa taasisi imara it still depend personalities
2. Kmeshindwa kujibainisha kinasimamia sera gani
3. Asilimia 70 ya wananchi vijijini hawakifaham ni chama cha namna gani
4. Kimeshindwa kukuza demokrasia ndani kwa kutoruhusu wakosoaji
5. Kufa kwa ubunifu wa viongozi labda suala la elimu linaweza kuingia.
6. Kukosa sera madhubuti na kuishi kwa matukio na scandals. ina maana kusipokuwa na tukio then kueneza chama itakua kazi ngumu
KUNA VYAMA VYA KILAGHAI SANA HP TZ.
You seem to have a single digit IQ, which makes you a clear and present danger to our nations well being! Bs
Je ccm inaongoza kwa vile wajua itikadi na sera za ccm au hongo ya chumvi,pombe na kanga? Ccm ni chama tapeli kiogope.