Huyu mtu anaishi Tanzania? Yupo dunia gani huyu mtu? Anaishi kwenye ndoto ya kiza kama wafu. Eti ccm itawaletea maendeleo kwa hiyo hayajafika? Yapo wapi? Miaka 50 yapo njiani? So tueleze lini yatafika? Hivi huyu maswi ni mpinzani? Kuwaita wabunge tumbili na washenzi na wajinga nani anatukana? Wewe nape kuwa realistic wenye akili tupo wengi.