Recent content by joellincoln

  1. joellincoln

    JamiiForums Tanzania KERO CRDB hiki mnachofanya sio sahihi, App inaandika ni bure kuangalia taarifa fupi ya miamala, baada ya kuangalia unakatwa Tsh 450

    NANI ALIKUAMBIA UKICHUKULIA DIRISHANI HAWAKATI? WANAKATA KAMA KAWAIDA. HATA UKITOA KUPITIA ATM WANAKATA PIA SO HUDUMA PEKEE NAONA NI FREE NI KUTANSFER HELA KUTOKA ACCOUNT YAKO YA CRDB KWENDA ACCOUNT NYINGINE YA CRDB,, BASIIII..VINGINE VYOTEEEE MAKATO KAMA KAWAIDA NI BALAAA MNO, NDO MAANA WATU...
  2. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Jamani nisaidie mbwa wadogo wanakufa sana hapa kwangu

    wANAKUJA WANESHAPATA CHANJO ZOTE? HIZO DALILI UNAZOSEMA NI UGONJWA WANAITA PAVOO,, FANYA USAFI WA BANDA UPULIZIE NA DAWA THEN KAA KAMA WIKI WALETE MBWA WAKO LAKINI HAKIKISHA WANAPATA CHANJO ZOTEE IKIWEMO CHANJO YA PAVO
  3. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Nimeanza kuzini na mama mkwe. Alikuwa ananitega mwenyewe

    Siku hizi mabibo hostel mnakaa na wake zenu? Kuna nyumba za wanafunzi mliio oa? maana kuna thread kuhusu BOOM kutoka kwa wanafunzi wa UDSM nimekuona KICHWANI ZERO ukijisifu kuwa juzi umekesha bar fulani na ukapoteza network na kuna baadhi umewajibu kuwa hawakuwezi kwa masom na mademu na kuwa GPA...
  4. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Kwa anayehitaji mchumba-wanawake tu

    Hauko serious mbona umepost kwenye jukwaa la tetesi? Kwa hiyo ni tetesi bado huja confirm kama kweli unatafuta mchumba??:A S-omg:
  5. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Airport yetu ya Dar inanuka uozo wa rushwa!

    Kupe si kweli Ethiopian Airline mbona nimesafiri nayo juzi juzi tu wazungu walikuwa wengi tu ndani ya ndege. Tatizo uwanja wa ndege ni management mbona hata kwenye BA kuna watu wanakamatwa na unga?
  6. joellincoln

    JamiiForums Tanzania inauma sana

    Kama ana tabia hiyo iga Tanga au Mombasa ukimuona anataka kushusha mzigo unamboost kwa kupiga dole mk****ni kitu kinakata mnaanza upya! hahahaah
  7. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Chadema kumfikisha mahakamani Nape Nnauye

    Nafikiri CHADEMA kupitia mheshiwa mnyika wako sawa kwenye hili. Nape alikataa kutoa ushahidi akisema anakumbuka muda muafaka ufike ndo amwage data nakumbuka aliyasema haya wakati akihojiwa na Fina Mango. Nafikiri wakienda mahakamni ukweli ndo utajulikana,,,, so usiwatishe CHADEMA kutumia haki...
  8. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Barcelona Vs Real Madrid-Another Season of Mighty Clasicos.

    Bercelona 3 madrid 1 kitu kama hicho kaka Messi kama kawaida kadumbukiza mbili peke yake wakato ronaldo kafunga la madridi dakika ya 73 sasa
  9. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Video inaonyesha kwa nini wachina wanashinda sana olympic 2012

    Ohooo mkuu nimei download na sikumbuki link ila video clip ninayo,,, nielekeze jinsi ya kubandika video clip kama ni possible nitupie sasa ivi. Samahani kwa usumbufu jamani nilijua imeupload
  10. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Video inaonyesha kwa nini wachina wanashinda sana olympic 2012

    Cheki mwenyewe hapo video wenzetu wanajua kujiandaa
  11. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Uvutaji wa sigara kwa wingi una madhara ktk mbegu za kiume

    Fallacy! Tupe prove si kuleta data za ukoo wenu tu hapa! Kumbuka unaongelea dunia na tanzania kwa ujumla. Anyway mi rafiki yangu anavuta balaa tena sports na ana watoto watatu wote wa kiume anahangaika apate angalau wa kike sasa na shemeji naona kimeshaita,, yetu macho usikute ni kidume tena so...
  12. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Malawi and Tanzania to resolve the border issue over 'Lake Malawi' amicably

    Mkuu unatumia takwimu za wapi kaka? Si kweli kuwa Malawi wako fresh kiuchumi wamechoka sanaaaa hawawezi hata kunua silaha mpya hao kama chakula ni tabu itakuwa silaha? Huyu mama kaingia ndo kaanza kuukarabati uchumi kwa kuwarudisha wahisana ambao walijitoa baada ya mtangulizi marehemu Prof Bingu...
  13. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Is it true? Hebu soma maelezo hayo kwa tshirt

    Wakubwa ujumbe huu una ukweli wowote?
  14. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Ipe maneno picha hii ya jembe mh. Zito

    Pole mkuu hahahah yashinde majaribu
  15. joellincoln

    JamiiForums Tanzania Ipe maneno picha hii ya jembe mh. Zito

    Ipe caption picha hii,,,,
Back
Top Bottom