Recent content by Joe1970

  1. J

    Baada ya onyo la TCRA, TBC1 waja na mbinu mpya kuibeba CCM

    Kituo cha ITV ni mali ya mtu binafsi,ana uamuzi wa kufanya anachotaka lakini asivunje sheria,lakini TBC1 ni cha umma(watanzania wote hata wapinzani),kimekuwepo na kinaendeshwa kwa kodi za wananchi,nadhani ulipaswa utambue hiyo tofauti.
  2. J

    Watanzania mnayo habari hii!

    The wind of change is undefetable,"YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIMES,BUT YOU CAN'T FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME"watanzania wa leo sio wale wa zamani,hatuogopi hata mje na sheria za namna gani mlizojitungia wenyewe ili kulinda uwizi na ubadhirifu wa mali za umma(wananchi),tunaposema kwamba...
  3. J

    Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?

    Hili jambo lina uhusiano mkubwa sana na mambo yanayotendeka katika ulimwengu wa roho,mpaka mtu anafikia kuanguka bafuni au chooni,tayari anakuwa alishamruhusu shetani kumtumikisha na kumletea either magonjwa,au namna yoyote ya mitego yake ili aweze kufanikisha malengo yake,shetani ana sifa kuu...
  4. J

    Gharama ya plumbing kwa nyumba ndogo ya kisasa

    nitumie picha ya nyumba hiyo kwenye PM nitakufanyia estimation,mimi fundi plumber pia kama utapenda niifanye hiyo kazi,nitakusaidia
  5. J

    Mimi nina Akili timamu, siwezi kuwasaliti Watanzania

    Acha kupotosha watu wewe,serikali huongozwa na chama kinachotawala,JK ni rais na ni mwenyekiti wa ccm,serikali iliyopo madarakani ni ya ccm na inatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi,huna sera wewe ndiyo maana huna cha kusema,watanzania wa leo siyo wa kuburuzwa tena,we kaa pembeni acha...
  6. J

    Tukiwaendekeza CHADEMA: Bunge Zima Litajaa Wasanii wa Bongo Fleva & Movie!

    Wewe kweli hujui siasa,chadema tangu lini ikawapeleka wabunge bungeni,kama ni hivyo wabunge wote bungeni wangekuwa ni wa chadema!,acha uvivu wa kufikiri,hata akina vicky kamata ni chadema iliwapeleka bungeni,wewe huoni hao wasanii wanaopelekwa na ccm tena kwa viti maalum,unawaangalia chadema...
  7. J

    Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

    Ruta za siku,naona umeshamaliza kale kamgao ka ruge kule VIP(escrow),akina ruta,ruge,tiba kwa kutega hamjambo,sasa hako ka ACT si mtaka-escrownize muda si murefu wajameni
  8. J

    Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

    Acha wivu wa kike,ninyi ndiyo mlioeneza kwenye JF kwamba anahamia ACT,sasa aibu imekushika unatoa povu mdomoni.
  9. J

    Kwa matukio haya ya Songea , ACT-Wazalendo ina kazi kubwa

    Hata mimi huwa nahudhuria mikutano ya ccm sana ili nisikie sera zao,lakini ukweli ni kwamba wingi wa watu waliohudhuria sio wapenzi na wanachama wa chama husika lakini mwisho wa siku tutajua chama cha kuweka na kukopa na chama cha siasa ni kipi,tuwe watulivu,muda lazima utasema!
  10. J

    Ben Saanane kuhamia ACT - Wazalendo siku ya Ijumaa

    Wewe hapa naona unajifunza lugha,kama ben kila uchwao anaendelea kukua kisiasa na yupo chadema,basi chadema is a strong hold!
  11. J

    Ben Saanane kuhamia ACT - Wazalendo siku ya Ijumaa

    Siyo taifa la pwagu na pwaguzi ndugu yangu,watu wengine wako very serious na mipango yao,just imagine kama itatokea akahamia ACT,mimi naona kama mission itakuwa accomplished kwa sababu alituhumiwa kumuwekea sumu zzk,then leo anajiunga na zzk ACT unaona nini hapo!,mi nadhani atakuwa anakwenda...
  12. J

    Ben Saanane kuhamia ACT - Wazalendo siku ya Ijumaa

    Umenikumbusha mbali sana mkuu,si ndiyo huyu huyu zzk alitoa hayo madai!
  13. J

    Ben Saanane kuhamia ACT - Wazalendo siku ya Ijumaa

    Mbona humtolei mfano stephen wasira alihama wapi na wapi na kuhamia wapi!,inaonekana mrengo wako na saatisa hauna tofauti
  14. J

    Natafuta msaidizi wa kazi za ndani

    natafuta dada wa kazi za nyumbani.mwenye umri usiopungua miaka 20.awe mkazi wa Arusha,moshi na tanga.mshahara ataanza na laki moja.
  15. J

    Mtunzi na muhamasishaji wa nyimbo za CHADEMA, ahamia ACT - Wazalendo

    Hebu waambie hao wavivu wa kufikiri,kama siyo upinzani hususan chadema wangejuta kuzaliwa TZ,wanashabikia wasichokijua,hao ni wale rais akifika kwao wapiga nae picha na kumshika mkono wakidhani kwamba ni jambo la ajabu sana.Tanzania mpaka ipate ukombozi halisi lazima tuwe na dhamira ya dhati...
Back
Top Bottom