Kimsingi inatakiwa wakubwa woe wa vyama wakubaliane kuwa hakuna kutuma matoeo kwa njia ya Mtandao Kila chama kihakikishe kina matokeo ya urasi kwa kila jimbo na matokeo hayo yatumwe kwa Mweyekiti wa Chama husika ngazi ya Taifa kwa nja ya kawaia .UKAWA wakikubali matokeo yatumwe kwenye tume ya uchaguzi bas ujue wapinzani(UKAWA)Wamelia.