Ila Bora hata mseven anawapa kazi ya kufanya kuna mwingine huku anachota tu mali ya umma na kuwafaidisha ndunguze na marafiki na machawa bila ya kufanya kazi yeyote
Labda niongezee nyama kidogo mkuu Ili aweze kupata mafanikio ya uhakika ni muhimu sana kupima eneo Ili aweze kujua anachokitafuta Kiko wapi na kipo umbali Gani
Tatizo lipo Kwa anayewatuma na kuwapa hizo posho wewe hujiulizi wameandamana na hujaona hata polisi mmoja akihusika Sasa andamana wewe kumpinga mama Yao uone utakavyoacha ndala barabarani
Ila kama hiki kilichotokea serikali au kama kuna kiongozi wa serikali ndio ameratibu huu upuuzi amezingua pakubwa sana huwezi kushindana na taasisi kama Ile Kwa mbinu dhaifu Kiasi hiko
Kwa sisi tunaopenda kuishi kwenye nafasi natoa million 20 namiliki ekari mia Moja hapa pwani pembeni kabisa ya dar iliyobaki nashusha mjengo Wa maana nikipata na usafiri wangu safi kabisa halafu mtu ananiambia nitoe zaidi ya million mia kununua kile chumba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.