Hivi mtu ambae mmeoa katika familia moja, we umeoa mkubwa yeye kaoa mdogo unamuitaje? Mke wa mjomba ni sahihi kumuita shangazi? Mume wa shangazi unamuitaje? Baba yangu anamuitaje baba mkwe/mama mkwe wangu?
I AM NOT SURE IF THIS IS THE NOTE U NEED BUT IT HAS SOMETHING IMPORTANT.
Taarifa kamili ya Dk. Mwakyembe hii hapa:
Nimelazimika leo Jumamosi, tarehe 18 Februari, 2012 kutoa taarifa hii kwa vyombo vya habari kufuatia mkutano wa DCI Robert Manumba na waandishi wa habari jana (17/02/12)...
kwikwi husababishwa na matatizo yanayohusisha neva au misuli ya upumuaji hasa diaphragm. mfano kula haraka haraka, kula chakula au vinywaji vyenye gesi, kula vyakula vyenye viungo vingi, magonjwa ya ini au mapafu, operation za tumbo(abdominal operations), madawa kama valium nk. kwa ujumla...
hata wanaume wenyewe tunachangia hali hii. mke akiwa na pesa kuliko mume tutasema '' lile jimama limemuoa'' mi siwalaumu wanawake coz mwanaume jasiri hasubiri unyonge wa mwanamke ili awe kichwa cha familia bali hutumia busara na hekima kama mwanaume.
Ni huyu huyu aliyekuwa naibu waziri wakati kina KARAMAGI wanajiuzuru, aliachwa, hakuwajibishwa na kama haitoshi mkubwa wa nchi akampandisha cheo na kumpa WIZARA aongoze, tena wizara nyeti katika nchi! haikuwa bure, kuna kitu!!!! sasa nadhani madhara yanaonekana! aliyetakiwa kuwasilisha bajeti ni...
Kama research itakuwa baada ya tar 28 mwezi huu naomba kibarua cha kuwa research assistant, i may also help solving the problems you encounter in the programme! I'm serious, 0713599470.
naomba wadau mnisaidie hili, hivi tume ya taifa ya uchaguzi inateuliwa na nani na inawajibika kwa nani?
jana kwenye taarifa ya habari niliona tume ya uchaguzi ikikabidhi ripoti ya uchaguzi kwa rais aliye madarakani je hii ina maana gani, je rais ndiye mkuu wa tume? mwaka 2006 sikufuatilia hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.