hata mi nilikuwa suelewi kwanini naogopwa sana, kumbe sababu ni hizo sifa zangu ulizozitaja hapo juu.
Lakini kwanini tuogopwe na midume?
...Niliwahi kusikia yule mama aliyekuwa makamu wa rais wa uganda simkumbuki jina lake alikuwa na PhD halafu akabahatika kuwa vice president, mumewe alikuwa just a graduate engineer...alitaka kuleta zile zao jamaa akawa anampa kichapo tu. Museveni aliposikia vice wake anachezea kichapo akajifanya kuhoji kwa nini?? jamaa akamwambia this is my wife she has to obey my orders regardless of her vice presidency status violation of those orders will lead to punishment.....M7 akawa mpole....Bora hata umkute yupo juu kuliko akiweza kuadvance wakati mpo wote, hapo ndio kiburi cha mwanamke utakapo kijuwa. tatizo ni watu kutokujuwa mungu ndio tatizo, watu wakirudi kwa mungu kila mtu ataijuwa nafasi yake ndani ya Familia/mahusiano.
<br />That is the truth Nazjaz, <br />
wanawake warembo, wenye kipato nk nk, wanafuatwa saaana ila sio kwa kuoa
<br />1. Wasomi<br />
2. Wenye uchumi mkubwa<br />
3. Warembo kupitiliza<br />
4. Walio wazidi umri (mwanamke mkubwa zaidi ya umri wa mwanaume)
<br />hata mi nilikuwa suelewi kwanini naogopwa sana, kumbe sababu ni hizo sifa zangu ulizozitaja hapo juu.<br />
Lakini kwanini tuogopwe na midume?
1. Wasomi
2. Wenye uchumi mkubwa
3. Warembo kupitiliza
4. Walio wazidi umri (mwanamke mkubwa zaidi ya umri wa mwanaume)
hata mi nilikuwa suelewi kwanini naogopwa sana, kumbe sababu ni hizo sifa zangu ulizozitaja hapo juu.
Lakini kwanini tuogopwe na midume?
1. Wasomi
2. Wenye uchumi mkubwa
3. Warembo kupitiliza
4. Walio wazidi umri (mwanamke mkubwa zaidi ya umri wa mwanaume)
1. Wasomi
2. Wenye uchumi mkubwa
3. Warembo kupitiliza
4. Walio wazidi umri (mwanamke mkubwa zaidi ya umri wa mwanaume)