Recent content by jobatic

  1. J

    JamiiForums Tanzania Tanzania yathibitisha uwepo wa wagonjwa wapya 5 wa COVID-19. Waathirika wafikia 32, watatu wafariki dunia

    Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar Sent using Jamii Forums mobile app
  2. J

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini ili kuku wa mayai(layers) watage mayai mengi?

    wanatumiaje hii? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. J

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini ili kuku wa mayai(layers) watage mayai mengi?

    Wadau naomba kujua mwenye uzoefu kuku wangu wa mayai wana mwezi wa Saba na nusu ila bado kwa siku naokota mayai 15 mpaka 20 wako 100. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. J

    JamiiForums Tanzania Je kuna umuhimu wa kusoma A- level kama foundation course iko hivi?

    Mimi najipanga kusoma
  5. J

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu M-PESA kubadilisha float

    Kikubwa nmeona tangazo ndugu wakala usitoe pesa bila kitambulisho kwahyo
  6. J

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu M-PESA kubadilisha float

    Mimi ni wakala mgeni Kwahyo sijawahi kubadili float Kwa line 2 Tatizo langu Kuhusu kwenda bank kubadili float ili kupata cash Nliende crdb nikaone usitoe pesa km hauna kitambulisho Wakat jina la wakala na lingne Na jina langu la kitambulisho line Kwahyo naomba msaada kufahamu Km...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi ya kulea vifaranga vya kuku

    Yap hapo nmekuelewa sn Nashukuru sna kwa maelezo yako
  8. J

    JamiiForums Tanzania Msaada soko la soya

    Nilikuwa na tani moja Ila now nmeuza Nusu tani
  9. J

    JamiiForums Tanzania Msaada soko la soya

    Kijijin matimila
  10. J

    JamiiForums Tanzania Msaada soko la soya

    Songea
  11. J

    JamiiForums Tanzania Msaada diploma in adult na Diplomaya chuo kikuu huria

    Halafu wanasema ukimaliza course hii unaweza soma bachelor Chuo chochote hapa nchini
  12. J

    JamiiForums Tanzania Msaada diploma in adult na Diplomaya chuo kikuu huria

    Nmekuelewa sn nashukuru sn msaada wako ntakuuliza mengi hususan kuhusu masula kujiendeleza kielimu
  13. J

    JamiiForums Tanzania Msaada diploma in adult na Diplomaya chuo kikuu huria

    Nko ruvuma Songea
  14. J

    JamiiForums Tanzania Msaada diploma in adult na Diplomaya chuo kikuu huria

    Poa nashukuru kwa neno lako Nauliza nataka nijue ili nifanye maamuzi sahihi Naenda kutafuta c
Back
Top Bottom