Ukijisajili utachagua masomo matano kama ya form six utasoma masomo hayo mwaka mmoja. Ukipata average ya 50% kila somo atajiunga na degree direct baada ya kumaliza mwaka mmoja. Lakini lazima uwe na any certificate na form uwe na pass D nne za o-level.
Hii ni kama rahisi mtu kujiendeleza maana ni mwaka mmoja tu na unajump hapa na kujiunga na degree...
Je hii ni sahihi kwa wewe kusoma hivi?? Na je kuna umhm wa kusoma A-level kama hiii foundation iko hivi.
Kuna vyuo vinaruhusi hii kitu je TCU sasa wamezuia ni kwa vyuo vyote au vyuo vingine kama open university, tumaini au udom wanaruhusu.
Hii ni kama rahisi mtu kujiendeleza maana ni mwaka mmoja tu na unajump hapa na kujiunga na degree...
Je hii ni sahihi kwa wewe kusoma hivi?? Na je kuna umhm wa kusoma A-level kama hiii foundation iko hivi.
Kuna vyuo vinaruhusi hii kitu je TCU sasa wamezuia ni kwa vyuo vyote au vyuo vingine kama open university, tumaini au udom wanaruhusu.