Recent content by Jo Venture

  1. Jo Venture

    Yaliyojiri kikao cha dharura UN kujadili Gaza

    Nilitulia huku nikifatilia kwa utulivu mjadala mzito Wa kikao cha dharula kijadili kitendo cha ISRAEL kuwauwa WAPALESTINA 61 ktk kuzuia maandamano siku ya ufunguzi Wa ubalozi Wa USA mjini Jerusalem ! Huku upande mwingine raisi Wa UTURUKI akiwa na mazungumzo mazito na Waziri Wa mambo ya nje Wa...
  2. Jo Venture

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Hivi mkisema push to start " uwa mnamaanisha nini ?
  3. Jo Venture

    Kwanini Canaan alilaaniwa na sio Ham?!

    Mkuu kunavitu naona wazi unajichanganya au hujavielewa. Mimi kama Mimi sihoji wala sipingi Mungu afanyapo jambo. Bali ili kuweka sawa elimu itokanayo na jambo au funzo la Mungu ndipo tunahitaji mijadala kueleweshana. Naomba usome tena na uelewe:- 1. Mungu hamkulaani Canaan wala Ham Bali ni Nuhu...
  4. Jo Venture

    Kwanini Canaan alilaaniwa na sio Ham?!

    Mkuu ukirudi kwenye maandiko utagundua Si kizazi chore cha Ham kilicholaaniwa, ni Canaan na kizazi chake tu. Wa kwanza ni Cush, Mizraim , Phut na Wa mwisho ni Canaan. Manaake laana hazikwenda kwa hao wengine Bali kwa Canaan tu na uzao Wa Canaan
  5. Jo Venture

    Mwanamke subiri uvuliwe, usivue mwenyewe

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Nyie vijana mnanivunja mbavu zangu Pumbavu zenu sana nyie [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  6. Jo Venture

    Mwanamke subiri uvuliwe, usivue mwenyewe

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  7. Jo Venture

    Nimechimba kisima kwa 5.8mil nasambaza maji mtaa mzima; Nashangaa miradi ya Serikali huwa inakwama wapi

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  8. Jo Venture

    Dar, Tegeta: Ng'ombe zaidi ya 15 wakutwa wamekufa kwenye gari, washaanza kutoa harufu

    Yani Dar bwana! Bora tu tuhamie Dodoma tukale zetu Punda fresh kabisa. Dar hovyo sana ,Si mahali salama kuishi , hovyo sana
  9. Jo Venture

    Angalizo: Style ya Mbwa 'doggy style' yadaiwa kusababisha Kansa na Presha

    [emoji1] Umetisha mkuu ! Zaidi miaka 40? Alafu "Wake zako wote" Hahahahaa
  10. Jo Venture

    Kwanini Canaan alilaaniwa na sio Ham?!

    Hebu nami nitupie machache ktk huu mjadala, kadri ambavyo nimerudia rudia tena na tena kusoma hii incident ya Noah najiwa na maswali mengi baadhi ni kama hivi! 1.Je ni muda gani ulipita tangu family hii itoke ktk safina mpaka tukio hili lilipofanyika.? 2.Canaan alikua mtoto Wa NNE Wa Shem ...
  11. Jo Venture

    Uzalendo kwanza

    Kwani vipi mbona vijana mna hasira ambazo sijui mmekosewa nini na nchi hii aise
  12. Jo Venture

    Interviews za Ali Kiba zinaboa; Yeye kwake kila kitu ni "Personal"

    Yule jamaa bado local sana, very traditional. Sijui hata kinachomuinua ni nn
  13. Jo Venture

    Uzalendo kwanza

    Kuna namna nashindwa kushare nawe what I know, kwasababu kuna namna umesha I tilt akili yako hutaki kuruhusu akili yako iwaze zaidi ya unayoambiwa
  14. Jo Venture

    Uzalendo kwanza

    Uzalendo ni hali ya juu kabisa ya kujitambua ,kuitambua asili yako,kuikubali asili na jamii yako, kuipenda na kujivunia jamii yako na misingi yake yote. Kuwa tayari kujitoa,kujituma kufanya kila uwezalo mradi tu unajua ni jema kwa manufaa ya jamii/nchi yako. Kuwa tayari kuitetea na kuifichia...
  15. Jo Venture

    Uzalendo kwanza

    We we unadhani nini tatizo, kipi kinakosekana ktk nchi hii mpaka uone sawa kufanya kebehi kwa mambo mema na makubwa serikali inafanya tens kwa manufaa yako mwenyewe
Back
Top Bottom