Jo Venture
Member
- May 9, 2018
- 18
- 27
Wengine chupi zao chafu,team nandy au lah zimetoboka ile kuogopa aibu anavua faster then anaficha kwenye pochi
Nyie vijana mnanivunja mbavu zangu Pumbavu zenu sana nyie

Wengine chupi zao chafu,team nandy au lah zimetoboka ile kuogopa aibu anavua faster then anaficha kwenye pochi

Yaaani ana nyuzi zake. Waeza cheka kutwaa.Kwakweli mbalizi Leo hapana
We acha tuHivi huko mvua inanyesha ee
Mngh!Kwakweli mbalizi Leo hapana
HahahaaaaHahahaaa. Sijui ndio ya kilugha hao au ndio yale ya lugha ya Malkia.![]()
![]()
Nawaza tu rafiki.![]()
![]()
![]()
Hahahaaa. Sawa kabisaaa.Hahahaaaa
Mchanganyiko hiyo yaani mixer sio dry
Aaaaah dada mkuuuu acha kuwa na choyoUmeyamaliza yote kaka mkuu ntasema nn

Aibu yanguHahahaaa. Nimeona rafiki.
Siasa na mimi ni kama mgonjwa wa jino na mahindi ya kukaangwa vile ujueYaaani ana nyuzi zake. Waeza cheka kutwaa.

Hahahahahahaaaaaaa
Mbona mimi utaivaa!! Naachaje ile raha ya kukuvua kwa mfano!!Ila asikwambie mtu luvuliwa raha sana yani unafeel ile kitu Fulani,,Mara nyingi huwa naivunja hii sheria ya kusema ukiolewa hakuna kulala na chupi hapana,,huwa namisi kuvuliwa kwakweli koh koh
Hahaha eee bhana haya mambo sharti mtiane hamasa haswaa muyaanzie mbali dohhh hapana kwakweli alieleta huu mchezo Mungu anamuonaMbona mimi utaivaa!! Naachaje ile raha ya kukuvua kwa mfano!!