Jo Venture
Member
- May 9, 2018
- 18
- 27
Nimeona niingie jamvini hapa (JF) nami kama RAIA na MZAWA mzalendo kabisa niweze fupata fursa kushare na watanzania wenzangu mambo ambayo naamini ni ya msingi sana kwa ustawi wa Taifa letu.
Jambo lenyewe ni UZALENDO. Kwa Leo nianze kwa kusisitiza tu kwamba hebu tutulie (hasa vijana) tutafakari mwenendo wa taifa letu kwa undani sana bila kushikiwa akili wala kutii mihemko , hakika tutagundua wazi kwamba :-
RAISI MAGUFULI ni MZALENDO HALISI MWENYE NIA NJEMA SANA ITAKAYO KUWA NA MANUFAA ENDELEVU KWA VIZAZI NA VIZAZI ktk Taifa letu.
Nchi hii watu walikwisha poteza uzalendo, (hasa wazee wengi wasomi) na hii ikapelekea maana halisi ya neno UZALENDO kupotea (mpaka sasa vijana wengi hawaelewi nini maana ya uzalendo)
Hii ni hatari kwa future ya Taifa.
Kazi kubwa na ya msingi MAGUFULI anafanya ni kuanza kwa upya kujenga spirit of uzalendo Ikiwa ni mtu pekee kufanya Kazi hii baada ya BABA WA TAIFA kututoka.
Narudia tena, tumpe muda raisi wetu, tum support kwa mtazamo mpana wa mbaali , jamaa yuko vizuri na anaeleweka.
Jambo lenyewe ni UZALENDO. Kwa Leo nianze kwa kusisitiza tu kwamba hebu tutulie (hasa vijana) tutafakari mwenendo wa taifa letu kwa undani sana bila kushikiwa akili wala kutii mihemko , hakika tutagundua wazi kwamba :-
RAISI MAGUFULI ni MZALENDO HALISI MWENYE NIA NJEMA SANA ITAKAYO KUWA NA MANUFAA ENDELEVU KWA VIZAZI NA VIZAZI ktk Taifa letu.
Nchi hii watu walikwisha poteza uzalendo, (hasa wazee wengi wasomi) na hii ikapelekea maana halisi ya neno UZALENDO kupotea (mpaka sasa vijana wengi hawaelewi nini maana ya uzalendo)
Hii ni hatari kwa future ya Taifa.
Kazi kubwa na ya msingi MAGUFULI anafanya ni kuanza kwa upya kujenga spirit of uzalendo Ikiwa ni mtu pekee kufanya Kazi hii baada ya BABA WA TAIFA kututoka.
Narudia tena, tumpe muda raisi wetu, tum support kwa mtazamo mpana wa mbaali , jamaa yuko vizuri na anaeleweka.