Kwa tuzo hizi kwa ukanda wa afrika mashariki kachukua mtu mmoja, bado anapigwa madongo, waangalie nigeria nchi moja imebeba ngapi? Ndipo utajua tunasafari ndefu. Tuongezeni wasanii wengi kimataifa na sio kupunguza hicho kimoja tulichonacho
Hizi tuzo si rahisi kupata kama wengi wanavyofikiri, ndo mana kuna umuhimu wakupeleka wasanii wengi kimataifa, cheki wanigeria wamezoa tuzo kibao, sisi tumekalia majungu
Kupitia hizi tuzo za mtv, kuna kitu chakujifunza, jamaa wanatenda haki nakuangalia vingezo mbalimbali zaidi yakupiga kura, sio hizi tuzo zetu zinatoka kama njugu
Msigwa ni moja ya wabunge wazuri na wanaojua kujenga hoja kwa maslai ya Taifa, tunahitaji wabunge wengi wenye mtazamo kama wake katika Bunge lijalo na sio kuwapunguza nakutuletea waganga wakienyeji kutunga sheria.
Dawa yakuondoa mfumo wa wizi nikuondoa mfumo uliopo na kuweka mfumo mpya, Watanzania tusitegemee jipya sana kutoka kwa Magufuli, ingawa tunatambua utendaji wake ila hawezi kwenda nje ya mfumo uliomweka, swali rahisi lakujiuliza ni je Magufuli akigundua wizi wa waliomtangulia hasa maraisi ataweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.