huyo ni mlinzi wa Rais/ usalama, pia kipindi cha kikwete alikuwepo,
yupo kweny rank 1 ambapo ni ya juu sana hutumika sehemu zeny mikusanyiko mingi kama viwanjani na sehem za misongamano kwa ajili ya kumlinda Rais, kuna rank 2, 3 ambao nao wanamlinda Rais sehem tofauti tofauti.
Habarn wandugu mimi ni mkazi wa Arusha natazamia kuwa mwanza mwez wa nane kwa mapumziko ya wiki moja,
hii itakuwa mara yangu ya kwanza kufika mwanza, ningependa mnijuze hotel au lodge nzur za bei nafuu avg-50 to 80 Tsh per night, pia na sehem nzur za kutembelea.
Asanteni.
mkuu nashukuru kwa matokeo ila hzo kura ukijumlisha znakuja 2611, wakati wajumbe waliopga kura walitangazwa kuwa around 2400, hzo nyingne zmetoka wap? au na wale wachina nao walipiga
mkuu nakubaliana na wewe ila hyo ya jk kumbeba na kumfikisha tatu bora cyo sawa, kilichotokea kweny tatu bora hakikutarajiwa, choice za jk zilikuwa mbili tu.
jaji augustino
bernard membe
karata zake zmeshndikana kutokana na mvutano wa kimakundi,mpaka kutokea kundi moja kupiga kura za kukomoa...
Ni kweli ameongea vizuri, speech nzuri na audience ilimsifu kwa kumpigia makofi,, hayo yote yalikuwa ni mazuri hasahasa kwa mtu uliepata muda wa kuangalia.......
Lakini sasa speech yake haifuti mabilioni ya uswisi, haifuti mali asili zinazotokomea kila kukicha, haifuti sifa kubwa ua madawa ya...
Pole sana... mi napenda kujua wakat anajifingua alipatwa na tatzo lolote? Alijifungua kawaida au operation, km kawaida alichanika au kuongezewa njia?? Afu ntajua jibu la kutoa
Hee sasa mbona ww hauko bungeni? Km kusoma sana ndo kuingia bungeni maprofesa wote wangekuwa huko,,, hushangai pamoja na kusoma kwako kuna alieishia std 7 kakuzdi kwa kila kitu... hyo ni akili ya maisha.
Hawa jamaa wanacheza na akili zetu, unafikiri km tungekaa kimya angekanusha hyo kauli? Sauti za watu ndo zmemfanya akanushe lakini nia yao ipo palepale.
Hali kama hiyo huwa inatokea kwa bint ambaye ni mara ya kwanza kuwa kwny mahusiano na pia inaonekana ushaonja.. USHAURI kuwa makini sana kwa mabint km hao kwan yupo tayar kujiua kwa ajili yako so nenda naye taratbu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.