Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Wanaume wote wangekuwa na fikra kama zako wewe...the world could have been a better place!!Bwana mdogo kumbuka hayo unayotaka kumfanyia mwenzio ipo siku na wewe utakuja kufanyiwa na wanawake na utajuta kuzaliwa, sio tabia nzuri ya kuumiza wenzio bila sababu ya msingi. Shukuru sana Mungu wako amekupatia mwanamke anayekupenda toka moyoni, haijalishi hali yake ya uchumi, elimu yake na rangi yake, unachotakiwa kukifanya komaa na huyo binti dogo acha kuhangaika na wanawake hawa kwani utakuja kuishia pabaya na hutokuja kupenda tena