Rahim Jr
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 561
- 282
Hatimaye jk amefanya maamuzi magumu ambayo hakuwahi tangu aingie madarakani. Naona ameona asiharibu swaum yake.
kwa maamuzi aliyoyasimamia yeye JK hakika amefaulu nani ambaye hamjui MAGUFULI?.sasa kazi imeanza ccm shikamoo