wanatamani
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 415
- 145
Wadau nioo Zanzibar .mitaani karibu kila ninaekutana nae anachekelea tano bora wanadai kura zao haziwezi kwenda kwa rais wala makamo mwanamke. Hawawezi kuongozwa na mwanamke yangu macho. Wananukuu aya ya Quraan. "mwaname ni kiongozi wa mwanamke"