Recent content by JMWAKA

  1. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania Agrovet

    Asante sana 🙏🙏🙏
  2. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania Agrovet

    Natafuta mtu aliyesoma kuhusu mifugo na yupo competent tuwasiliane hasa awe anajua production ya chakula cha kuku na mifugo mbalimbali. Tuwasiliane through call/Whatsapp 0658183618
  3. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania Sababu za kwa kwanini kuku hushusha utagaji

    Ahsante sana
  4. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania BAMBURI CEMENT YA KENYA YANUNULIWA NA MTANZANIA.

    Ok to the point inafaidishaje watz wenzake Atawaajiri Atafungua kingine bongo Tuseme na faida zake kuwa mtz haitoshi Maana hata elon mushi katokea S.A lakini yupo kwa trampo
  5. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

    Hapa umesema kweli lakini imeelekeza lawama sehemu isiyo sahihi chanzo cha yote ni udanganyifu wa shetani na tamaa za mtu mwenyewe sababu inaweza kuwa wanaume lakini pia inaweza kuwa wanawake wenyewe kudanganyika
  6. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania Je ni ruksa kwa mtu wa bara kumiliki ardhi Zanzibar?

    Mpaka umiliki sijui kama ni rahisi kuna ubaguzi fulani hivi
  7. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

    Teh teh teh teh Watu wanapanga mipunga kwa wajumbe huko let's see
  8. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje Mutual Fund za Kenya zinatoa faida 25%?

    Kama hamna uthibitisho huu 🧵 hauna maana
  9. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania Maelezo ya Wenje yamenyooka zaidi kuliko tuhuma za Lissu! Huenda Mbowe bado ni mtu sahihi zaidi kuongoza CHADEMA

    Wenje kasema ukweli akidhani ananyoosha but in reality ni Yuda fresh na lisu has nothing to loose except Truth ndio maana hakuogopa kumtaja hata Chair wake
  10. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kumbe Walioenda kwa Mbowe walikuwa wamealikwa?

    Katika unafiki ogopa sana habari zako kujulikana na wazee na walevi Magufuli aliaibishwa siku moja na mama maria Nyerere 😆😆😆😆
  11. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

    https://x.com/ChademaTz/status/1867258984211550573
  12. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

    UTANGULIZI Ndugu zangu na wanachama wenzangu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Tangu mwaka jana, chama chetu kimekuwa katika Uchaguzi Mkuu kichama. Katika Uchaguzi Mkuu huu, sisi wanachama wa CHADEMA tumekwishafanya uchaguzi wa viongozi wetu katika ngazi mbali mbali za chama, kuanzia ngazi...
  13. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

    Hajaanza kuzungumza tu naona porojo porojo tupu kwenye uzi huu
  14. JMWAKA

    JamiiForums Tanzania 2097 nilivyo nusirika kuingia kwenye group la majambazi

    Sijakuelewa bro Umeandika nini
Back
Top Bottom